Kampuni ya kutengeneza Chip za Kompyuta ya Intel Corp kusitisha huduma zake Urusi

Kampuni ya kutengeneza Chip za Kompyuta ya Intel Corp kusitisha huduma zake Urusi

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
1649244675234.png

Kampuni ya kutengeneza Chip za Marekani ya Intel Corp ilisema Jumanne kwamba imesitisha shughuli za biashara nchini Urusi, ikijiunga na makampuni kadhaa kuondoka nchini humo kufuatia uvamizi wake nchini Ukraine.

Kampuni hiyo, ambayo ilikuwa imesitisha usafirishaji wa bidhaa kwa wateja wa nchini Urusi na Belarus mwezi uliopita, ilisema imetekeleza hatua za mwendelezo wa biashara ili kupunguza usumbufu kwa shughuli zake za kimataifa.

"Intel inaendelea kuungana na jumuiya ya kimataifa kulaani vita vya Urusi dhidi ya Ukraine na kutoa wito wa kurejeshwa kwa amani haraka," kampuni hiyo ilisema.

Shirika la Kimataifa la Mashine za Biashara hapo awali lilisimamisha usafirishaji huku Ukraine ikizitaka kampuni za kompyuta za wingu na programu za Marekani kukata uhusiano na Urusi.

Soma zaidi: Intel suspends business in Russia, condemns war in Ukraine
 
Hivi China au South Korea hakuna makampuni yanayoweza kutengeneza Chip kama za Intel au kiwango kinachokaribia..?
 
Hivi China au South Korea hakuna makampuni yanayoweza kutengeneza Chip kama za Intel au kiwango kinachokaribia..?
Unamjua mchina au unamsikia , usije ukajidanganya ukakosana na mtu ukitegemea mchina atakutoa kwenye shida , hao mamwamba Wana degree ya unafiki.

Wanakuacha hvi hvi unajifia , hata hvyo China hawez kwenda tofaut by 💯 na Sera za Marekani , South Korea ni mtoto wa USA, North Korea hata usimzungumzie huyo ni maskini wa kutupwa in term of technology
 
Unamjua mchina au unamsikia , usije ukajidanganya ukakosana na mtu ukitegemea mchina atakutoa kwenye shida , hao mamwamba Wana degree ya unafiki , ... wanakuacha hvi hvi unajifia , hata hvyo China hawez kwenda tofaut by [emoji817] na Sera za Marekani , North Korea hata usimzungumzie huyo ni maskini wa kutupwa
Eti maskini wakutupwa kweli ninyi niwadanganyika
 
Unamjua mchina au unamsikia , usije ukajidanganya ukakosana na mtu ukitegemea mchina atakutoa kwenye shida , hao mamwamba Wana degree ya unafiki , ... wanakuacha hvi hvi unajifia , hata hvyo China hawez kwenda tofaut by [emoji817] na Sera za Marekani , South Korea ni mtoto wa USA, North Korea hata usimzungumzie huyo ni maskini wa kutupwa in term of technology
BOT kati ya China na US inaonesha China ana export kwenda US mara mbili ya kile US anachoingiza China. Hapo weka mbali makampuni ya US, EU ambayo yamefungua viwanda China.

China uchumi wake upo hapo sababu hizo nchi za magharibi n Ulaya zimewekeza hapo. China hawezi kuthubutu kwenda kinyume na hizo nchi.

Umenena vyema kabisa.
 
Kampuni ya kutengeneza Chip za Marekani ya Intel Corp ilisema Jumanne Aprili 6, 2022 kwamba imesitisha shughuli za biashara nchini Urusi, ikijiunga na makampuni kadhaa kuondoka nchini humo kufuatia uvamizi wake nchini Ukraine.

Kampuni hiyo, ambayo ilikuwa imesitisha usafirishaji wa bidhaa kwa wateja wa nchini Urusi na Belarus mwezi uliopita, ilisema imetekeleza hatua za mwendelezo wa biashara ili kupunguza usumbufu kwa shughuli zake za kimataifa.

Soma zaidi: Intel suspends business in Russia, condemns war in Ukraine

Source: Aljazeera
 
Hivi China au South Korea hakuna makampuni yanayoweza kutengeneza Chip kama za Intel au kiwango kinachokaribia..?
Mkuu China alizimiwa mtandao wa Android tu akatapatapa, akasema ataanzisha wa kwakwe mpaka leo, Marekani alifanikiwa sana ku-invest ulimwenguni miaka kibalo iliyopita sasa anapeta tu., yeye ndio mwenye sukani
 
Mkuu China alizimiwa mtandao wa Android tu akatapatapa, akasema ataanzisha wa kwakwe mpaka leo, Marekani alifanikiwa sana ku-invest ulimwenguni miaka kibalo iliyopita sasa anapeta tu., yeye ndio mwenye sukani
Na ww eti unaisema china wakati chai hujanywa hapo ulipo [emoji23]
 
Netherlands :
Prime Minister Mark Rutte said: “We are facing an incredibly high inflation rate of 11%.

Prices are rising so fast that the government can't fix it."

HAHAHAHA
 
Hivi China au South Korea hakuna makampuni yanayoweza kutengeneza Chip kama za Intel au kiwango kinachokaribia..?
Wanazo ila technology ni ya hao Wamarekani,kwa hiyo huwezi kumuuzia mtu aliewekewa vikwazo na Marekani. Jiulize kwanini Huawei ilikufa.
 
Mkuu China alizimiwa mtandao wa Android tu akatapatapa, akasema ataanzisha wa kwakwe mpaka leo, Marekani alifanikiwa sana ku-invest ulimwenguni miaka kibalo iliyopita sasa anapeta tu., yeye ndio mwenye sukani
Ivi unaakili ww Lin China ilizimiwa operating system ya android au unakurupuka ukiwa unakula.kiporo chako?
 
Wanazo ila technology ni ya hao Wamarekani,kwa hiyo huwezi kumuuzia mtu aliewekewa vikwazo na Marekani. Jiulize kwanini Huawei ilikufa.
Lin Huawei ilikufa? ivi nyie mnakuwaga na akili gani Huawei haijawai kufa na haitakufa kilochotokea ni kupungua Kwa mapato sababu ya vikwazo vya marekani Ila bado ipo na shuguli zake zinaenda na wanakuja na operating system Yao ambayok inashaanza kufanya kazi kwenye cm zao baada ya Google kuwakatia android system na bado shughuli zao kwenye mawasiliano ya mitandao ya cm inaendelea kwenye nchi ambazo hazijapata shinikizo la marekani
 
Wanajisumbua tu na hivyo vikwazo, sababu Russia hana mpango wa kustisha operation bila matakwa yake kusikilizwa.
Pili, Russia ni nchi iliyo vizuri mno kwenye teknolojia na sio tegemezi kuasi cha kuomba msaada sehemu.
 
Back
Top Bottom