Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Russia anazo Cpu zake zinaitwa Elbrus sema zipo slow speed yake ni kama gen ya 1 hivi ya intelHivi China au South Korea hakuna makampuni yanayoweza kutengeneza Chip kama za Intel au kiwango kinachokaribia..?