Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Russia anazo Cpu zake zinaitwa Elbrus sema zipo slow speed yake ni kama gen ya 1 hivi ya intelHivi China au South Korea hakuna makampuni yanayoweza kutengeneza Chip kama za Intel au kiwango kinachokaribia..?
lete hapa huo uongoSasa kama umefunga mbona unaongea urongo
lete hapa huo uongoSasa kama umefunga mbona unaongea urongo
Hazifai hizo kwa ulimwengu wa sasa.Russia anazo Cpu zake zinaitwa Elbrus sema zipo slow speed yake ni kama gen ya 1 hivi ya intel
Acha uongo ndugu hao korea kaskazini wapo mbali mno kwa tecnolojiaUnamjua mchina au unamsikia , usije ukajidanganya ukakosana na mtu ukitegemea mchina atakutoa kwenye shida , hao mamwamba Wana degree ya unafiki.
Wanakuacha hvi hvi unajifia , hata hvyo China hawez kwenda tofaut by [emoji817] na Sera za Marekani , South Korea ni mtoto wa USA, North Korea hata usimzungumzie huyo ni maskini wa kutupwa in term of technology
Mkuu China alizimiwa mtandao wa Android tu akatapatapa, akasema ataanzisha wa kwakwe mpaka leo, Marekani alifanikiwa sana ku-invest ulimwenguni miaka kibalo iliyopita sasa anapeta tu., yeye ndio mwenye sukani
Nasikia siku hizi wamebadilisha taaluma eti wamehamia kwenye ufugaji wa nguruwe 🐷 🤣🤣🤣Wanazo ila technology ni ya hao Wamarekani,kwa hiyo huwezi kumuuzia mtu aliewekewa vikwazo na Marekani. Jiulize kwanini Huawei ilikufa.
Mtandao wa android upoje huo,Mkuu China alizimiwa mtandao wa Android tu akatapatapa, akasema ataanzisha wa kwakwe mpaka leo, Marekani alifanikiwa sana ku-invest ulimwenguni miaka kibalo iliyopita sasa anapeta tu., yeye ndio mwenye sukani
Kati ya hizo nchi mbili, ni Samsung pekee ya South Korea ndiyo ambayo inaweza kushindana kiviwango na Intel. Wachina bado wako generations kadhaa nyuma!Hivi China au South Korea hakuna makampuni yanayoweza kutengeneza Chip kama za Intel au kiwango kinachokaribia..?
Wewe una akili timamu kweli,utauza soko lipi simu ambayo haina Android au iOS?Lin Huawei ilikufa? ivi nyie mnakuwaga na akili gani Huawei haijawai kufa na haitakufa kilochotokea ni kupungua Kwa mapato sababu ya vikwazo vya marekani Ila bado ipo na shuguli zake zinaenda na wanakuja na operating system Yao ambayok inashaanza kufanya kazi kwenye cm zao baada ya Google kuwakatia android system na bado shughuli zao kwenye mawasiliano ya mitandao ya cm inaendelea kwenye nchi ambazo hazijapata shinikizo la marekani
Android tumeanza kuijua lini? umewai kutumia Simu ambayo nikwajili yamatumizi ya China Tu?Wewe una akili timamu kweli,utauza soko lipi simu ambayo haina Android au iOS?
Mkuu naweza ikawa njia kwake yakuongeza ufanisi zaidiRussia anazo Cpu zake zinaitwa Elbrus sema zipo slow speed yake ni kama gen ya 1 hivi ya intel
Acha urongo pimbi wwKati ya hizo nchi mbili, ni Samsung pekee ya South Korea ndiyo ambayo inaweza kushindana kiviwango na Intel. Wachina bado wako generations kadhaa nyuma!