Leo tar. 05 July 2024
Katika hali isiyo ya kawaida nikiwa eneo la tukio (nilimsindikiza ndugu yangu ambae nae ni muhanga wa hii habari) abiria waliotakiwa kusafiri na gari kampuni ya ALLY'S STAR T644 kutokea DAR ES SALAAM (Urafiki) kuelekea MWANZA walikumbwa na sintofahamu baada ya kubadilishiwa gari na kuelekezwa wapande gari T944
1. Kwanza gari zote mbili zilikuwepo zimepaki hapo hapo pamoja
2. Wahudumu wawili waliwekwa wasimame mbele ya kila gari kuficha abiria wasione plate number🤣
3. Abiria akija anaambiwa aonyeshe meseji ya tiketi na anaoneshwa gari ya kupanda
4. Baada ya abiria kuingia ndani wakaona gari imechoka, haina mwonekano waliotarajia au kuzoea kwa VIP LUXURY BUS, hapo ndipo abiria waliposhitukia mchezo na vurumai kuanza
5. Wengine waligoma kusafiri na kudai warudishiwe nauli, na wengine kulazimika kuendelea safari kutokana na umuhimu au ulazima wa safari zao
Baada ya kuzungumza na Wahudumu majibu yalikuwa hivi:
1. Baadhi ya Wahudumu walijibu kuwa basi husika ni mbovu ndio maana wamepewa basi ili ratiba ya safar isibadilike. Ilichekesha🤣 kwakuwa basi wanayosema mbovu ipo pembeni na ni nzur kwa mwonekano ndani na nje, inapakia abiria, na ndiyo iliyoanza kuondoka (hii ilikasirisha zaidi abiria🤣🤣)
2. Muhudumu mwingine alijibu kuwa lilikuwa tatizo la booking system ilidisplay bus namba tofauti na iliyotakiwa 🤣🤣
3. Kwakifupi majibu yao yalikuwa ni ya kujichanganya tu
MWISHO
1. Gari iliondoka kwa kuchelewa mida ya saa 11 jion tofauti na muda pangwa 1630HRS
2. Abiria waliokuwa wabishi au waongeaji wakidai haki yao walikuwa wanaitwa pembeni sijui walizungumza nn. Na inasemekana wabishi zaidi ambao walikuja mapema walibadilishiwa gari na kupelekwa kwenye gari waliyokatia tiketi awali
3. ABIRIA wengi walilaani na kusema kuwa hawatapanda tena mabasi ya ALLY'S STAR, kwani basi walilopewa haliendani TSH. 78,000 na wengine walipiga simu LATRA ila sikufanikiwa kfahamu mrejesho
4. WITO kwa wamiliki wa mabasi kuweni smart kwenye management ya biashara za usafirishaji katika zama hizi za utandawazi na ushindani wa biashara, ACHENI JANJA JANJA MNAWEZA POTEZA ABIRIA KWA UZEMBE
5. Au inapotakiwa kutoa maelezo kwa abiria toeni maelezo yaliyo nyooka
6. CC:
Nawatakia abiria wote wa ALLY'S STAR safari njema na poleni kwa changamoto
Katika hali isiyo ya kawaida nikiwa eneo la tukio (nilimsindikiza ndugu yangu ambae nae ni muhanga wa hii habari) abiria waliotakiwa kusafiri na gari kampuni ya ALLY'S STAR T644 kutokea DAR ES SALAAM (Urafiki) kuelekea MWANZA walikumbwa na sintofahamu baada ya kubadilishiwa gari na kuelekezwa wapande gari T944
1. Kwanza gari zote mbili zilikuwepo zimepaki hapo hapo pamoja
2. Wahudumu wawili waliwekwa wasimame mbele ya kila gari kuficha abiria wasione plate number🤣
3. Abiria akija anaambiwa aonyeshe meseji ya tiketi na anaoneshwa gari ya kupanda
4. Baada ya abiria kuingia ndani wakaona gari imechoka, haina mwonekano waliotarajia au kuzoea kwa VIP LUXURY BUS, hapo ndipo abiria waliposhitukia mchezo na vurumai kuanza
5. Wengine waligoma kusafiri na kudai warudishiwe nauli, na wengine kulazimika kuendelea safari kutokana na umuhimu au ulazima wa safari zao
Baada ya kuzungumza na Wahudumu majibu yalikuwa hivi:
1. Baadhi ya Wahudumu walijibu kuwa basi husika ni mbovu ndio maana wamepewa basi ili ratiba ya safar isibadilike. Ilichekesha🤣 kwakuwa basi wanayosema mbovu ipo pembeni na ni nzur kwa mwonekano ndani na nje, inapakia abiria, na ndiyo iliyoanza kuondoka (hii ilikasirisha zaidi abiria🤣🤣)
2. Muhudumu mwingine alijibu kuwa lilikuwa tatizo la booking system ilidisplay bus namba tofauti na iliyotakiwa 🤣🤣
3. Kwakifupi majibu yao yalikuwa ni ya kujichanganya tu
MWISHO
1. Gari iliondoka kwa kuchelewa mida ya saa 11 jion tofauti na muda pangwa 1630HRS
2. Abiria waliokuwa wabishi au waongeaji wakidai haki yao walikuwa wanaitwa pembeni sijui walizungumza nn. Na inasemekana wabishi zaidi ambao walikuja mapema walibadilishiwa gari na kupelekwa kwenye gari waliyokatia tiketi awali
3. ABIRIA wengi walilaani na kusema kuwa hawatapanda tena mabasi ya ALLY'S STAR, kwani basi walilopewa haliendani TSH. 78,000 na wengine walipiga simu LATRA ila sikufanikiwa kfahamu mrejesho
4. WITO kwa wamiliki wa mabasi kuweni smart kwenye management ya biashara za usafirishaji katika zama hizi za utandawazi na ushindani wa biashara, ACHENI JANJA JANJA MNAWEZA POTEZA ABIRIA KWA UZEMBE
5. Au inapotakiwa kutoa maelezo kwa abiria toeni maelezo yaliyo nyooka
6. CC:
- LATRA
- Wahusika wa ALLY'S STAR
- Kampuni zote za usafirishaji abiria
Nawatakia abiria wote wa ALLY'S STAR safari njema na poleni kwa changamoto