Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Eti bwana...Una akili za kimasikini sana. Tafuta pesa nawe ununue mabasi.
Afrika ukianza kuwa na mali nyingi wachawi wanakuwa wengi sana. Hutakiwi uwe na hela au mali nyingi Afrika.
AiseeHyo kampuni ya wakubwa hyo ,
Wacha weee !!!Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguzwe kuhusu Kodi na utajiri wa ghafra leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je Kodi ya bandarini imelipwa halali
Basi zaidi ya 200!?..zitaenda ruti gani!?..muwe mnapunguza chumvi mbuzi nyieKuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguzwe kuhusu Kodi na utajiri wa ghafra leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je Kodi ya bandarini imelipwa halali
Ujinga ufiche kwa mumeoKuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguzwe kuhusu Kodi na utajiri wa ghafra leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je Kodi ya bandarini imelipwa halali
We sjui lesbian[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Hapo unajiona umeongea point .
Wachawi noma unaambiwa mchawi nduguAfrika ukianza kuwa na mali nyingi wachawi wanakuwa wengi sana. Hutakiwi uwe na hela au mali nyingi Afrika.
Akiyataka mwenyewe angekaa kimya kingemsibu nini mdomo uliponza kichwaEti bwana...
Inawezekana mtu kapiga American Lottery Jackpot Bingo ya ONE BILLION DOLLARS..
Hii ilikuwaga tabia ya Jiwe a.k.a JPM. Ukionekana una pesa kuizidi serikali yake tu, basi wewe ni mwizi...!
Duuh, hii ilikuwa tabia mbaya ya Jiwe...
Bishop Zackary Kakobe wa Full Gospel Bible Fellowship Church [FGBFC] hatamsahau Jiwe...
Yaani aliposemaga tu yeye ana mahela kuliko serikali, mzee wa kazi Jiwe alipanikigi ile mbaya kiasi cha kuanza kushuku uraia wa muha wa Kakonko Mzee wetu Zakaria Kakobe..
Roho ya umasikini mbaya kwelikweli...!!
Hiyo ni roho ya kimasikini badala ya kumpongeza unataka wamfirisi,..wabongi bwana😐😐Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguzwe kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Hata huyo nyau watakuambia achunguzwe,...wabongo siyo watu wazuri😂😂
Kampuni ya ester ni ya nnauye na walamba asali wenzio mkuuuuKuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguzwe kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Jiwe kapitia mengi na kawatesa wengi asee duuh 🤔Eti bwana...
Inawezekana mtu kapiga American Lottery Jackpot Bingo ya ONE BILLION DOLLARS..
Hii ilikuwaga tabia ya Jiwe a.k.a JPM. Ukionekana una pesa kuizidi serikali yake tu, basi wewe ni mwizi...!
Duuh, hii ilikuwa tabia mbaya ya Jiwe...
Bishop Zackary Kakobe wa Full Gospel Bible Fellowship Church [FGBFC] hatamsahau Jiwe...
Yaani aliposemaga tu yeye ana mahela kuliko serikali, mzee wa kazi Jiwe alipanikigi ile mbaya kiasi cha kuanza kushuku uraia wa muha wa Kakonko Mzee wetu Zakaria Kakobe..
Roho ya umasikini mbaya kwelikweli...!!
Mabasi Mia Ni hela ndefu bro, halafu huyo huyo ndio anakazia Mambo ya tozo.Una akili za kimasikini sana. Tafuta pesa nawe ununue mabasi.
Afrika ukianza kuwa na mali nyingi wachawi wanakuwa wengi sana. Hutakiwi uwe na hela au mali nyingi Afrika.
Huu ni muda wa walamba asali mkuuu 😂😂😂😂Mabasi Mia Ni hela ndefu bro, halafu huyo huyo ndio anakazia Mambo ya tozo.
Umesahau nape na makamba mkuuuesta is equal to Mwigulu Nchemba squad