DOKEZO Kampuni ya mabasi ya Ester ichunguzwe

DOKEZO Kampuni ya mabasi ya Ester ichunguzwe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguzwe kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Hapo shida ni nini, matajiri ni watu muhimu sana watatoa ajira nyingi. Tuwapende matajiri basj moja lina dereva, kondakta, turn boy, wakala, meneja bado mpiga debe. Hiyo basi moja tu. Ila wapunge ms-Yutong
 
Tangu neno Chawa liasisiwe mwaka 2016 hadi leo hii, Watanzania wamepungukiwa uwezo wa kupambana na Ufisadi.

Yaani mtu anapata Utajiri akiwa ofisi ya Umma lakini watu hawaoni shida.
Mbona Nyerere amehudumu miaka almost 24 kama Rais wa Nchi lakini hatujawahi kusikia akihusishwa na Utajiri wowo
Ukiwa kwenye ofisi za umma ushindwe kufanya biashara? Unajua amefanya nini mpk kuweza kununua mabasi 100?
Nyie ndiyo wale wazee wenye mentality ya umasikini mnaotegemea mshahara mpk kufa kwenu na mkiona mtu yupo ofisi na anafanya biashara ni mwizi. Hapo ofisini kwako hebu na wewe iba ununue mabasi 100 tuone.
Tafuta hela mkuu, acha makasiriko
 
Kampuni ya ester ni ya nnauye na walamba asali wenzio mkuuuu

Acha wivu tafuta hela na basi 1 ni 800M

Mara 200 ni 160B hiyo ni ushirika wa walamba asali nguli 7 hapo
#utajiri haupatikani kwa kulalamika chapa kazi#

[emoji16]
Uongo hakuna Yutong ya 800mil

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Achunguze nani sasa?!Sisi Watanzania bhana!
 
Siyo kwa nchi za kiafrika. Tafuta hela na hakikisha familia yako inaishi maisha mazuri.
Unafikiri zile milion 5 za magoli ya Simba na Yanga, mama yako anatoa mfukoni kwake?
Tutafute pesa, tuache makasiriko.

Hakuna anae kasirika ila ni muhimu kuhoji kwasababu wananchi ndo wanao kamuliwa kodi, hizo za simba na yanga wakati wake utafika
 
Unaishi na huyo mtu nyumban kwako mpaka ulize pesa kapataje?
Hapo kazini kwako, hebu iba na wewe utajirike tuone.
Punguza makasiriko, tafuta hela mkuu
Nadhani umeacha kutumia ubongo wako mkuu.
 
Una akili za kimasikini sana. Tafuta pesa nawe ununue mabasi.
Afrika ukianza kuwa na mali nyingi wachawi wanakuwa wengi sana. Hutakiwi uwe na hela au mali nyingi Afrika.
Mbaya sana mwezangu anafanikiwa unaanza kumlonga
 
Ni hivi mtu yeyote akiwa na fursa ya kukwepa Kodi biashara za usafirishaji zinalipa sana .

Lakini watu wa kawaida wanaolipa Kodi biashara ya mabasi inalipa lakini Kwa muda mrefu.

Ndio maana wakubwa wakianza biashara za malori na mabasi wanapata faida haraka haraka Kwa sababu wengi wanakweepa Kodi.

Mfano Mtu wa chini au mnyonge aliyeuza korosho zake kule kijijini ananunua Bajaji pamoja na Kodi zake Kwa Bei ya mil. 8 . Hapo kumbuka anatakiwa akajisajiki LATRA, Ushuru wa forodha, Kukamatwa na TRAFIKI na faini kila siku.
Mil. 8 atairejesha kwa tabu sana.
Lakini Mtu akinunua Bajaji India bila ushuru haufiki hata mil tatu. Akiindesha Kwa kukwepa Kodi na akawa hakamatwi na TRAFIKI Kwa kusumbuliwa mana anajulikana na ni kigogo mkubwa Bajaji hiyo itanunua Bajaji mbili Kwa mwaka mmoja . Miaka Kumi atakua anamilika zaidi ya bajaj 200 . Baadae atasema kuwa watanzania ni wavivu hawafanyi kazi na wanapenda majungu na wanawivu na chuki. Mtu huyo Kwa kukwepa Kodi na kupata utajiri wa kutisha atasema kuwa watanzania wapambane na maisha yao waache kuchukia matajiri.
Kumbe hakuna mtu anayechukia matajiri Bali watu wanachukia Matajiri wanaotumia madaraka yao na umaarufu wao na rushwa kukwepa Kodi na matokeo yake maskini ndio wanalimbiliziwa Kodi na Tozo na kuumizwa ili nchi ipate fedha za miradi.

Basi la Yutong au Zhongton au Higer au malori ya Faw au HOWO bila Kodi na maushutu mangine ni Bei ndogo kuliko Coster yenye Kodi lukuki.
Sasa mtu akinunua mabasi manne yasiyo na makodi matozo Kwa miaka mtano anauwezo wa Kununua mabasi hata 100 bila Kodi.

Hata Pikipiki bila Kodi ni Bei rahisi sana . Tatizo kubwa la biashara za kuagiza BIDHAA nje ikiwemo magari ni Kodi na maushuru yake. Ukiweza kukwepa Kodi biashara zote za kuagiza BIDHAA Toka nje zinalipa na zinawatajirisha watu Kwa haraka sana.

Watu wengi wenye ndugu kwenye idara za Kodi na wakubwa SERIKALINI ndio wanaofanya biashara za kuagiza BIDHAA nje na zinalipa Kwa haraka kwani mbinu kubwa wanayotumia ni kukwepa Kodi.

Kwa hiyo watu wanaolalamikia baadhi ya wafanyabiashara wasipuuzwe kwani wanashindana na watu wenye mwanya wa kukwepa Kodi.

Biashara za Magendo na madawa ya kulevya zinawapa fedha nyingi sana wanye fursa za kuzifanya bila kushughulikiwa.
 
Na wewe unadhani biashara ina operate hivyo? Kuwa tajiri ni bahati jumlisha weledi na umahiri wa ku-take risk. Tunaweza tukafungua duka la nguo leo la aina moja na mtu mwingine. Mie nikawa na advantage ýa location na pia security nikakopa benki biashara yangu ikakuwa mara 5 ya mwenzangu. Hapo haimaanishi mimi ni mwizi ila nime-play smart.

Mabasi ya Esther yapo muda mrefu na kukua kwa kampuni hiyo kuna vitu vingi na kuna wanahisa wengi. Huwezi kuongelea mshahara wa mtu mmoja wakati kampuni ni limited by shares.

Mie ni mtumishi wa umma ninayefanya biashara pia. Nashauri tuondokane na mentality ya aliyefanikiwa ni mwizi wengine wame-take risk wamefanikiwa
Sikatai Mkuu, ila viongozi wengi wa Umma utajiri wao umetokana na kuiba mali za Umma.

Nchi haiendelei kwasababu Kodi tunayokusanya pamoja na Mikopo tunayokopa inaishia kwenye Upigaji wa viongozi tuliowapa dhamana ya kutuongoza
 
Ukiwa kwenye ofisi za umma ushindwe kufanya biashara? Unajua amefanya nini mpk kuweza kununua mabasi 100?
Nyie ndiyo wale wazee wenye mentality ya umasikini mnaotegemea mshahara mpk kufa kwenu na mkiona mtu yupo ofisi na anafanya biashara ni mwizi. Hapo ofisini kwako hebu na wewe iba ununue mabasi 100 tuone.
Tafuta hela mkuu, acha makasiriko
Kama unaona Wizi wa mali za Umma ni ufahari basi tumelogwa.

Ndiyo maana Viongozi wanaona ufahari kutuibia na kushindana kununua majumba ya kifahari huko Duniani
 
Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguze kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je, Kodi ya bandarini imelipwa halaBli?
Hiyo inamilikiwa na waziri wa fedha wa awamu ya sita mwenye kiburi na majivuno na mmiliki klabu ya Singida Big Stars
 
Ni hivi mtu yeyote akiwa na fursa ya kukwepa Kodi biashara za usafirishaji zinalipa sana .

Lakini watu wa kawaida wanaolipa Kodi biashara ya mabasi inalipa lakini Kwa muda mrefu.

Ndio maana wakubwa wakianza biashara za malori na mabasi wanapata faida haraka haraka Kwa sababu wengi wanakweepa Kodi.

Mfano Mtu wa chini au mnyonge aliyeuza korosho zake kule kijijini ananunua Bajaji pamoja na Kodi zake Kwa Bei ya mil. 8 . Hapo kumbuka anatakiwa akajisajiki LATRA, Ushuru wa forodha, Kukamatwa na TRAFIKI na faini kila siku.
Mil. 8 atairejesha kwa tabu sana.
Lakini Mtu akinunua Bajaji India bila ushuru haufiki hata mil tatu. Akiindesha Kwa kukwepa Kodi na akawa hakamatwi na TRAFIKI Kwa kusumbuliwa mana anajulikana na ni kigogo mkubwa Bajaji hiyo itanunua Bajaji mbili Kwa mwaka mmoja . Miaka Kumi atakua anamilika zaidi ya bajaj 200 . Baadae atasema kuwa watanzania ni wavivu hawafanyi kazi na wanapenda majungu na wanawivu na chuki. Mtu huyo Kwa kukwepa Kodi na kupata utajiri wa kutisha atasema kuwa watanzania wapambane na maisha yao waache kuchukia matajiri.
Kumbe hakuna mtu anayechukia matajiri Bali watu wanachukia Matajiri wanaotumia madaraka yao na umaarufu wao na rushwa kukwepa Kodi na matokeo yake maskini ndio wanalimbiliziwa Kodi na Tozo na kuumizwa ili nchi ipate fedha za miradi.

Basi la Yutong au Zhongton au Higer au malori ya Faw au HOWO bila Kodi na maushutu mangine ni Bei ndogo kuliko Coster yenye Kodi lukuki.
Sasa mtu akinunua mabasi manne yasiyo na makodi matozo Kwa miaka mtano anauwezo wa Kununua mabasi hata 100 bila Kodi.

Hata Pikipiki bila Kodi ni Bei rahisi sana . Tatizo kubwa la biashara za kuagiza BIDHAA nje ikiwemo magari ni Kodi na maushuru yake. Ukiweza kukwepa Kodi biashara zote za kuagiza BIDHAA Toka nje zinalipa na zinawatajirisha watu Kwa haraka sana.

Watu wengi wenye ndugu kwenye idara za Kodi na wakubwa SERIKALINI ndio wanaofanya biashara za kuagiza BIDHAA nje na zinalipa Kwa haraka kwani mbinu kubwa wanayotumia ni kukwepa Kodi.

Kwa hiyo watu wanaolalamikia baadhi ya wafanyabiashara wasipuuzwe kwani wanashindana na watu wenye mwanya wa kukwepa Kodi.

Biashara za Magendo na madawa ya kulevya zinawapa fedha nyingi sana wanye fursa za kuzifanya bila kushughulikiwa.
Ndio tatizo hapa lilipp imagine we unaagiza gari Ist japan kwa Million 8 , ushuru na tozo zingine kuitoa bandarini inacost another 7 million , total 15 million , juzi kuna mzee wa TRA anadai zimeingia costa 218 , zote hazijakatiwa ushuru mana ni za mzee wa msoga na zinaenda nchi za watu ..... Alafu jitu tuu linakuja et punguza wivu tafta hela , yaani ukiwa karbu unaweza litemea hata mate
 
Akiyataka mwenyewe angekaa kimya kingemsibu nini mdomo uliponza kichwa
Kwani Kuna sheria ilivunjwa na Kakobe?

Tatizo ni Askofu Zakaria Kakobe kutamba na utajiri au tatizo liko kwa yule aliyesikia uwingi wa utajiri wa mtu mwingine Kisha akaingiwa na wivu na kutaka amwangamize..?

Unajua sijakuelewa kabisa Ulweso???
 
Back
Top Bottom