Kampuni ya Maxcom Africa PLC, wamezidi kuboresha huduma zao.
LEO wametangaza Huduma zao Mpya ambazo zinaweza kupatikana kwa Mawakala wa Maxmalipo Popote.
Huduma hizi zimeambatana na huduma zilizopo kwenye mfumo wa serikali wa malipk Kielektroniki yaani GEPG.
- Malipo ya bili za Maji mikoa mbalimbali
- Malipo ya Faini za Polisi
- Malipo ya Ada za Vyuo
- Malipo ya Ada na tozo za TRA
- Malipo ya Uhamiaji/Imigration
Nk.
Huduma hizi zote zinapatika a kwa mawakala wa Maxmalipo Popote nchini.
LEO wametangaza Huduma zao Mpya ambazo zinaweza kupatikana kwa Mawakala wa Maxmalipo Popote.
Huduma hizi zimeambatana na huduma zilizopo kwenye mfumo wa serikali wa malipk Kielektroniki yaani GEPG.
- Malipo ya bili za Maji mikoa mbalimbali
- Malipo ya Faini za Polisi
- Malipo ya Ada za Vyuo
- Malipo ya Ada na tozo za TRA
- Malipo ya Uhamiaji/Imigration
Nk.
Huduma hizi zote zinapatika a kwa mawakala wa Maxmalipo Popote nchini.