Kampuni ya Microsoft yamuajili Sam Altman Kuongeza Juhudi katika Akili Bandia

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,437
Reaction score
2,043


Baada ya CEO wa open AI Sam Altman kufukuzwa kazi katika Kampuni ya Open AI

Microsoft imempa ajira mpya bosi huyo wa zaman wa Kampuni ya Open AI ili Kuongeza Juhudi katika Akili Bandia

Chanzo CNN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…