snipa JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 4,437 Reaction score 2,043 Nov 21, 2023 #1 Baada ya CEO wa open AI Sam Altman kufukuzwa kazi katika Kampuni ya Open AI Microsoft imempa ajira mpya bosi huyo wa zaman wa Kampuni ya Open AI ili Kuongeza Juhudi katika Akili Bandia Chanzo CNN
Baada ya CEO wa open AI Sam Altman kufukuzwa kazi katika Kampuni ya Open AI Microsoft imempa ajira mpya bosi huyo wa zaman wa Kampuni ya Open AI ili Kuongeza Juhudi katika Akili Bandia Chanzo CNN
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Nov 21, 2023 #2 Dunia hii ugunduzi ni silaha kubwa sana. Ukiwa kichwa wewe ni hazina.
iNine9 JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 4,412 Reaction score 8,198 Nov 21, 2023 #3 mkorinto said: Dunia hii ugunduzi ni silaha kubwa sana. Ukiwa kichwa wewe ni hazina. Click to expand... Jamaa kashaula tayari...
mkorinto said: Dunia hii ugunduzi ni silaha kubwa sana. Ukiwa kichwa wewe ni hazina. Click to expand... Jamaa kashaula tayari...
thesym JF-Expert Member Joined Aug 15, 2012 Posts 3,843 Reaction score 4,796 Nov 22, 2023 #4 OpenAI wametangaza kumrudisha baada ya wafanyakazi kusaini petition kuwa watahamia Microsoft kama jamaa hatorudishwa na baadhi ya board members kujiuzuru OpenAI brings Sam Altman back as CEO less than a week after he was fired by board Less than a week after he was fired as CEO by the OpenAI board, Sam Altman is back running the artificial intelligence startup. www.cnbc.com
OpenAI wametangaza kumrudisha baada ya wafanyakazi kusaini petition kuwa watahamia Microsoft kama jamaa hatorudishwa na baadhi ya board members kujiuzuru OpenAI brings Sam Altman back as CEO less than a week after he was fired by board Less than a week after he was fired as CEO by the OpenAI board, Sam Altman is back running the artificial intelligence startup. www.cnbc.com
Makanyaga JF-Expert Member Joined Sep 28, 2007 Posts 11,129 Reaction score 7,321 Nov 22, 2023 #5 mkorinto said: Dunia hii ugunduzi ni silaha kubwa sana. Ukiwa kichwa wewe ni hazina. Click to expand... Na ukiwa hazina, wewe ni kichwa!!
mkorinto said: Dunia hii ugunduzi ni silaha kubwa sana. Ukiwa kichwa wewe ni hazina. Click to expand... Na ukiwa hazina, wewe ni kichwa!!
Bakulutu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2011 Posts 2,557 Reaction score 1,787 Nov 22, 2023 #6 Muajili ~ Muajiri
L Leonardo Harold JF-Expert Member Joined May 13, 2019 Posts 1,088 Reaction score 2,122 Nov 22, 2023 #7 huku tuko busy na kina mwijaku na baba levo