Kampuni ya Mkenya kujenga kiwanda cha gesi Msumbiji

Kampuni ya Mkenya kujenga kiwanda cha gesi Msumbiji

The heading is misleading BIGLY. Habari inahusu uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesi na sio kiwanda cha gesi. Ukisema kiwanda cha gesi unamaanisha "Gas Processing Plant"tofauti na "Gas Powered Plant"
 
Mchezo unaisha pale refa anapopuliza filimbi, filimbi ilipo pulizwa Anina alikuwa amesha ishiwa pumzi. Haijalishi alipata kura nagapi au alifanya nini, mwisho wa siku ameshidwa na ameshidwa kwa hoja zahifu tuu, alikuwa pale kutetea maslahi ya watu wachache. Wala haikuwa kazi kubwa kwa akina "fulani" kuingiza mguu na kuharubu kila kitu. Nashagaa Amina anaanza kuleta mambo ya ukabila, oh francophone mara Anglophone anajisahau kwamba hayuko kwenye local Kenya election. Marafiki wanapunguwa, you guys under jubilee watu wanawakwepa.
Amina kauliza unata Chair AU,mbona nchi yako inajenga waya kutenganisha na Somalia,kaachia tu mdomo wazi
 
Amina kauliza unata Chair AU,mbona nchi yako inajenga waya kutenganisha na Somalia,kaachia tu mdomo wazi
Huyu mama, alikuwa napanda mlima kinyume nyume. Kulikuwa hakuna sababu ya yeye kushinda
 
Back
Top Bottom