nyamanolokwetu
Member
- Jan 30, 2023
- 89
- 284
Hii ni kampuni inayokopesha Sola kwa matumizi ya nyumbani vijijini. Walikuja huku Nyamanoro na kuweka matangazo yao. Kwenye maelezo ya mdomoni wanajua kushawishi, sasa ukiwalipa Pesa ya kianzio kuja kukufungia Sola mpaka uwalipe Pesa ya Mafuta na wanakuja kukufungia wanapojisikia wao.
Sola zao wakikufungia leo baada ya siku mbili zinazima. Hapo utapigwa danadana mwezi mzima hawaji kurekebisha na wakati mwingine simu hawapokei. Natoa tahadhari kwa Wananchi wengine maeneo yote nchini WASITHUBUTU KUKOPA SOLA kwenye hii Kampuni ya MYSOL ni MATAPELI NA MAJIZI watakuja kujuta.
Mimi na Wananchi wenzangu tumekoma,na leo tunaenda Mahakamani kuishtaki Kampuni hii ya KITAPELI
Sola zao wakikufungia leo baada ya siku mbili zinazima. Hapo utapigwa danadana mwezi mzima hawaji kurekebisha na wakati mwingine simu hawapokei. Natoa tahadhari kwa Wananchi wengine maeneo yote nchini WASITHUBUTU KUKOPA SOLA kwenye hii Kampuni ya MYSOL ni MATAPELI NA MAJIZI watakuja kujuta.
Mimi na Wananchi wenzangu tumekoma,na leo tunaenda Mahakamani kuishtaki Kampuni hii ya KITAPELI