sisya
JF-Expert Member
- Aug 9, 2014
- 263
- 96
Sisi wenye migodi nje ya ukuta tukihitaji milipuko hapa Mzinga Arusha tunaambiwa hakuna ila ukienda kwa walanguzi ipo na wanatuambia wamechukulia Mzinga.
Ni mwezi wa pili sasa kila nikifuatilia naambiwa hakuna.
Arusha unaambiwa hakuna ukienda Mirerani Mzinga ipo, na kwakuwa utaratibu wa kutoa pale kwenye ukuta Mirerani ni mgumu inabidi ununue kwa walanguzi wanaopewa hapo Arusha.
Bora jeshi wauze wenyewe wasiweke raia.
Ni mwezi wa pili sasa kila nikifuatilia naambiwa hakuna.
Arusha unaambiwa hakuna ukienda Mirerani Mzinga ipo, na kwakuwa utaratibu wa kutoa pale kwenye ukuta Mirerani ni mgumu inabidi ununue kwa walanguzi wanaopewa hapo Arusha.
Bora jeshi wauze wenyewe wasiweke raia.