Tufahamishe kidogo maana yake ni nini?unajua maan ya kuchukua sheria mkononi😁😁😁
Wangetafuta mwanasheria wawafungulie kesi ya madai wadai fidia kwa kampuni ya oya, maana kampuni kisheria inawajibika kwa makosa ya mfanyakazi ambayo yamefanywa akiwa anatekeleza wajibu wa kazi yakeMwenyekiti wa Kitongoji cha Kaloleni kilichopo Kata ya Janga, Ahmed Kilindo amesema kampuni ya OYA Microcredit imetoa mchango wa shilingi milioni moja (Tsh.1,000,000/=) kwa familia ya Juma Said Mfaume ambaye alifariki baada ya kupigwa na wafanyakazi wa kampuni hiyo walioenda kudai sehemu ya mkopo waliomkopesha mke wa Juma.
Kilindo amesema kampuni hiyo imetoa fedha hizo kama sehemu ya pole kwa familia huku akieleza kuwa uongozi wa kampuni hiyo umesikitishwa na kitendo kilichofanywa na wafanyakazi wake kwani ni kinyume cha miiko na maadili ya kazi yao.
Soma Pia:
Kilindo ameeleza hayo wakati akitoa salamu za uongozi wa eneo hilo kwa familia ya Juma.
- Mke wa Juma aliyepigwa na Wafanyakazi wa 'OYA' aeleza alivyokopa
- Pwani: Wafanyakazi wa kampuni ya mikopo ya OYA, mbaroni kwa tuhuma za mauaji
- Mfahamu Juma Jangalu anayedaiwa kuuawa na wafanyakazi wa OYA
Aidha Juma amezikwa katika Makaburi ya Mtongani kwa Domo yaliyopo Mlandizi.
Mimi nataka pia kujua ni ya nani maana mambo yake yanatisha ila bot aaah wapo kimya
maana yake ni kuchukua hatua ambayo kupaswa kuichukua.Tufahamishe kidogo maana yake ni nini?
Kwa hiyo alikosea nini kwa alichokieleza?maana yake ni kuchukua hatua ambayo kupaswa kuichukua.
Tuko kwenye mfumo wa kikatiliKwa Yeyote aliyesoma Kitabu Cha The Charismatic Charlie Wade atakuwa amesoma matukio kama Ya OYA kwa microcredit za Huko China.
Kwa mujibu wa kitabu kile ukikopeshwa ukashindwa kulipa wanakujeruhi na hata kukuua.
Endapo OYA wana mkono wa mchina....