sir Clinton
Member
- Jun 18, 2023
- 5
- 4
Mtoa mada ongeza nyama kwenye hii thread tueleweIv brela inaitambua kampuni ya PepsiCo ambayo wananchi wengi wanaweka fedha zao Kama hisa kwa lengo la kufanya investment?View attachment 2959416
Hakika hii mada inatakiwa iongezewe nyama nyama maana imekua too shortMtoa mada ongeza nyama kwenye hii thread tuelewe
MOJA YA UTAJIRI MKUBWA WA NCHI YETU, NI UWEPO WA WAPUMBAVU WENGI.Weka tuu pesa mana ni zako hakuna wa kukupangia