Kampuni ya PUMA imehamua kuachana na kusambaza na kuuza oil za Castrol?

Kampuni ya PUMA imehamua kuachana na kusambaza na kuuza oil za Castrol?

Kitimoto

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2012
Posts
6,941
Reaction score
7,808
Mimi ni mtumiaji wa Oil za Castrol kwenye magari ya Ulaya na Japan.

Juzi nilikuwa natafuta oil ya Castrol 5W30 Edge Full Synthetic kwenye filling stations za PUMA sikuweza kupata, sana sana walikuwa na oil za Castrol chache ikiwemo 5W40 Edge, nilizozikuta ni PUMA Oil ndizo wamezijaza nadhani ni matoleo mapya, kuuliza wakasema sasa hivi wanauza za PUMA, hizo za Castrol hawaagizi.

Kwa hali hii inabidi niachane na Oil za Castrol nianze kutumia oil za kampuni nyingine ila sijajua ni za kampuni gani ambazo zitakuwa ni bora na kama ilivyo kwa Castrol. Hizo za PUMA ukiangalia Parking zake hazina mvuto.

Nafikiria kuhamia kwenye Oil za Total.

Watahalam wa JF naombeni ushauri wa Kampuni gani yenye Oil nzuri tofauti na Castrol.
images2 (5).jpeg
 
Mimi ni mtumiaji wa Oil za Castrol kwenye magari ya Ulaya na Japan.

Juzi nilikuwa natafuta oil ya Castrol 5W30 Edge Full Synthetic kwenye filling stations za PUMA sikuweza kupata, sana sana walikuwa na oil za Castrol chache ikiwemo 5W40 Edge, nilizozikuta ni PUMA Oil ndizo wamezijaza nadhani ni matoleo mapya, kuuliza wakasema sasa hivi wanauza za PUMA, hizo za Castrol hawaagizi.

Kwa hali hii inabidi niachane na Oil za Castrol nianze kutumia oil za kampuni nyingine ila sijajua ni za kampuni gani ambazo zitakuwa ni bora na kama ilivyo kwa Castrol. Hizo za PUMA ukiangalia Parking zake hazina mvuto.

Nafikiria kuhamia kwenye Oil za Total.

Watahalam wa JF naombeni ushauri wa Kampuni gani yenye Oil nzuri tofauti na Castrol.
View attachment 2312934
Leo nimeenda kununua oil filter kwenye duka la spea za magari ya ulaya lipo pale kanisa la Pinda Kinondoni studio, nikauliza kuhusu kuadimika kwa Castrol Oil muuzaji akasema hao wasambazaji ni kama wamefunga biashara, ndio sababu nchi nzima mzigo umekuwa adimu.
 
Leo nimeenda kununua oil filter kwenye duka la spea za magari ya ulaya lipo pale kanisa la Pinda Kinondoni studio, nikauliza kuhusu kuadimika kwa Castrol Oil muuzaji akasema hao wasambazaji ni kama wamefunga biashara, ndio sababu nchi nzima mzigo umekuwa adimu.
Nashukuru, kwahiyo inabidi tuachane na Castrol Oil tuhamie kwenye oil za kampuni zingine. Hapa inabidi wajuzi wa magari watuambie ni za kampuni gani ni nzuri.

Ndani ya hizi siku 3 inabidi nifanye service ya gari, nisipopata mrejsho wa kampuni gani oil zao ni bora itabidi nihamie kwenye Total Oil.
 
Nashukuru, kwahiyo inabidi tuachane na Castrol Oil tuhamie kwenye oil za kampuni zingine. Hapa inabidi wajuzi wa magari watuambie ni za kampuni gani ni nzuri.

Ndani ya hizi siku 3 inabidi nifanye service ya gari, nisipopata mrejsho wa kampuni gani oil zao ni bora itabidi nihamie kwenye Total Oil.
Total ndo unapotea , brand yao sio mbaya , ila hawajadhibiti counterfeit products.
 
Vipi kuhusu magari ya kizungu kuandikwa tumia castrol oil..hii niliiona kwenye Discovery 3...
 
Total iko vizuri mm ndiyo huwa naitumia sana kwa engine oil. Gearbox oil tafuta za Toyota ATF
 
Tumia liqui moly hii imechangamka bei pia
Mimi ni mtumiaji wa Oil za Castrol kwenye magari ya Ulaya na Japan.

Juzi nilikuwa natafuta oil ya Castrol 5W30 Edge Full Synthetic kwenye filling stations za PUMA sikuweza kupata, sana sana walikuwa na oil za Castrol chache ikiwemo 5W40 Edge, nilizozikuta ni PUMA Oil ndizo wamezijaza nadhani ni matoleo mapya, kuuliza wakasema sasa hivi wanauza za PUMA, hizo za Castrol hawaagizi.

Kwa hali hii inabidi niachane na Oil za Castrol nianze kutumia oil za kampuni nyingine ila sijajua ni za kampuni gani ambazo zitakuwa ni bora na kama ilivyo kwa Castrol. Hizo za PUMA ukiangalia Parking zake hazina mvuto.

Nafikiria kuhamia kwenye Oil za Total.

Watahalam wa JF naombeni ushauri wa Kampuni gani yenye Oil nzuri tofauti na Castrol.
View attachment 2312934
 
Leo nimeenda kununua oil filter kwenye duka la spea za magari ya ulaya lipo pale kanisa la Pinda Kinondoni studio, nikauliza kuhusu kuadimika kwa Castrol Oil muuzaji akasema hao wasambazaji ni kama wamefunga biashara, ndio sababu nchi nzima mzigo umekuwa adimu.
Huyu kakupiga fix kwa sababu yeye anauza oil zake lakini mzigo wa Castrol umejaa madukani likiwemo la kwangu +255719263074
 
Back
Top Bottom