Kivipi?Huyu kakupiga fix kwa sababu yeye anauza oil zake lakini mzigo wa Castrol umejaa madukani likiwemo la kwangu +255719263074
Hujatoa sababu technical zaidi ya 'mvuto'.Wasio miliki magari!
Aisee, akili ndogo ........Hujatoa sababu technical zaidi ya 'mvuto'.
Inaonesha umekaririshwa ndo maana mpaka sasa hujui alternative.
Inabidi ujue gari lako ni aina gani na oil yenye ingredients gani ni recommended.
Utaishia kudanganywa hapa.
Kwa Castrol Oil nilikuwa nakwenda km 8 000. Nadhani hizo zenyewe za Germany ni zaidiz nadhani kaama km 15,000. Kama ni hivyo tofauti ya bei inawezekana ya Germany ikawa nafuu sababu hiyo Castroil, oil filter ninabadilisha kabla ya km 8,000.Tumia liqui moly hii imechangamka bei pia
Hamua" ndio nini?Mimi ni mtumiaji wa Oil za Castrol kwenye magari ya Ulaya na Japan.
Juzi nilikuwa natafuta oil ya Castrol 5W30 Edge Full Synthetic kwenye filling stations za PUMA sikuweza kupata, sana sana walikuwa na oil za Castrol chache ikiwemo 5W40 Edge, nilizozikuta ni PUMA Oil ndizo wamezijaza nadhani ni matoleo mapya, kuuliza wakasema sasa hivi wanauza za PUMA, hizo za Castrol hawaagizi.
Kwa hali hii inabidi niachane na Oil za Castrol nianze kutumia oil za kampuni nyingine ila sijajua ni za kampuni gani ambazo zitakuwa ni bora na kama ilivyo kwa Castrol. Hizo za PUMA ukiangalia Parking zake hazina mvuto.
Nafikiria kuhamia kwenye Oil za Total.
Watahalam wa JF naombeni ushauri wa Kampuni gani yenye Oil nzuri tofauti na Castrol.
View attachment 2312934
Ngoja nikutumie namba za muuzaji maana bei zipo tofauti kulingana na unahitaji ya km ngapi.Sawa mkuu, bei yake ni shilingi ngapi na inakuwa na lita ngapi?
Hii nitatumia kwa magari ya Ulaya.
.Wewe utakuwa haumiliki gari!
Vipi kuhusu magari ya kizungu kuandikwa tumia castrol oil..hii niliiona kwenye Discovery 3...
Asante sana MwanaJF, nimefanikiwa kupata kwao.Wambi Lubricant ndio Official Distributor wa Castrol Lubricant Tanzania bado wanapiga Kazi.
Upo sahihi, nilipoanza kusoma uzi nilitaka nikushauri uhamie Total kumbe umetangulia kufikaNafikiria kuhamia kwenye Oil za Total.
Watahalam wa JF naombeni ushauri wa Kampuni gani yenye Oil nzuri tofauti na Castrol.
Ulitakiwa kusema toka mwanzo na sio kuleta hadithi za 'mvuto'. Technicalities na mvuto wapi na wapi?Aisee, akili ndogo ........
View attachment 2313333
Total ndo unapotea , brand yao sio mbaya , ila hawajadhibiti counterfeit products.
okayWasio miliki magari!
Yani Total copy no nyingi mno na hata Castro nyingi zinatokea Nairobi,mie naona oil Bora ni Atlantic au Lique molyShida ya total feki ni nyingi bora atumie atlantic tu
Yani Total copy no nyingi mno na hata Castro nyingi zinatokea Nairobi,mie naona oil Bora ni Atlantic au Lique moly