MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nawapongeza wote mlioshtukia huu utapeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mida ya kubeti-Singeli ya Doggo Nigga.Sometime bora kubeti kuliko kuyashobokea haya makampuni hewa, yani kuna mdada mmoja alikuwa ananitumia audio na video clips za matangazo yao mpaka memory ikajaa
Haifai bora ufanye shughuli nyngnMwenzangu kujitafutia lawama tu.
Maana unaambiwa ili ulipwe mshahara mkubwa unatakiwa ushawishi watu wengi wajiunge.
Ukimshawishi ndugu mwisho mambo yenyewe ya kitapeli si lawama hizo?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Kuna jamaa mmoja wa Forever Nikimuona yuleee nabadili njia...
Ss km roho inakataa si uache?!Jamani vp kuhusu forever product maana kuna mtu ananishawishi sana niingie lakin roho yangu inakataa..Naomba ushauri wadau
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu Bi Mkubwa alitaka kunipiga kama mil. 1, nikashituka nikatimua mbio...! Wananitafuta kwa simu mpaka leo
nasikia wapumbavu huwa hawafundishikikuna jamaa tuko naye group moja basi kila kukicha ilikua ni habari ya rifaro saizi ukimuuliza kimya sijui kwann watu hawajifunzi.
KWENYE MAGROUP YA WATSUP HIVI SASAkuna jamaa yangu alinishauri sana nijiunge na kampuni ya rifaro kipindi inaanza, leo nimemuuliza kafikia wapi ananiambia kampuni imekufa natumia fursa hii kumpa pole yeye na wale wote waliojiunga na hii deci pia kama angalizo ukiona kampuni yoyote ya network marketing ujue ni utapeli tu wanachogeuza ni bidhaa na mbinu ila rengo ni lilelile kuuza watu biashara ikiwa satured vizazi haviongezeki wanaingia mitini.
Mpk wew unalalamika bei? Sawa mkuuKuna dada alinishawishi sana kuniunga forever, bei zake sasa dawa moja niliulizia inauzwa elfu 75,
Wanalipa kodilakini kwanini serikali inawapa vibali?