Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
viwanda mliua ccmNilifikiri wamefungua kiwanda cha kuunda Mabasi kumbe imports!
We jamaa nakuunga mkono na miguu kwa kweli watatuharibia sana kwa staili hiiSisi tulizoea siti mbanano tukivizia watoto wazuri tuanze kutongoza hizo basi hazitufai, sio user friendly kwa kweli
Unatangaza biashara au siasa[emoji57]viwanda mliua ccm
mh nyie ndo huwa mnatapika hovyo kwa kulakula mnaposafirihizo siti za katikati hazina hata raha! sa ntanuanuaje mahindi ya kuchemsha, viazi vya kuchemsha na mayai ya kuchemsha?
Nimewahi kupanda RATCO Dar to Tanga, na Buti La Zungu Dar to Mtwara. Lakini tofauti ipo. Kwanza mengi ya hayo magari yana portion tu ambayo ni executive hasa mbele na huwa kuna separation. Kipekee haya yapo classic.Tangazo limekosa logo tu.
Kuna RATCO, KIMBINYIKO, TABORA EXPRESS, SHABIBY, BUTI LA ZUNGU wote hao wanazo
hivi wewe kabila gani?Wakishaanza kupanda wanyakyusa na Waha mtaniambia
Mbona kuna kampuni ya shabiby na Tabora One zina mabasi hayo toka dar tabora na dar dom kila siku toka 2015! Jitahidi kufanya tafiti kabla ya kuandika, usije andika utumbo broh.
Declare interest...koz kila ukija unakuja na post za tahmeed tu..ukiponda mabasi mengine mathalan klm...weka wazi tu wewe ni mwajiriwa au ndugu au chochote kinachokuhusisha na tahmeed...koz ujio wa basi mpya ni inside info...then muwe mnalipia matangazo!Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.
View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort
is our concern
Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.
View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort
is our concern
daah haya bwanaWakishaanza kupanda wanyakyusa na Waha mtaniambia