Kampuni ya Tahmeed yaleta mabasi mfano wa ndege

Kampuni ya Tahmeed yaleta mabasi mfano wa ndege

Sisi tulizoea siti mbanano tukivizia watoto wazuri tuanze kutongoza hizo basi hazitufai, sio user friendly kwa kweli
We jamaa nakuunga mkono na miguu kwa kweli watatuharibia sana kwa staili hii
 
Tangazo limekosa logo tu.
Kuna RATCO, KIMBINYIKO, TABORA EXPRESS, SHABIBY, BUTI LA ZUNGU wote hao wanazo
Nimewahi kupanda RATCO Dar to Tanga, na Buti La Zungu Dar to Mtwara. Lakini tofauti ipo. Kwanza mengi ya hayo magari yana portion tu ambayo ni executive hasa mbele na huwa kuna separation. Kipekee haya yapo classic.
Hujatuambia ni route gani watapelekewa. Lakini nafikiri ni Arusha, Tanga/Mombasa,Dodoma,Iringa,na Mtwara. Hizo route siyo za umbali wa kutisha sana, kakini abiria wake hupenda mabasi ya kisasa.
 
Mbona kuna kampuni ya shabiby na Tabora One zina mabasi hayo toka dar tabora na dar dom kila siku toka 2015! Jitahidi kufanya tafiti kabla ya kuandika, usije andika utumbo broh.

Ati yanafanana na ndege aina ya Boeing, seat configuration ya Boeing ni 1 X 2? kweli?

Kaja na povu nahisi anapakiwa bure ili apigie debe
 
Tahmeed is a Kenyan company sielewi kwa nini wanapewa ruhusa kuserve domestic routes. Serikali amkeni!
 
Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.

View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort

is our concern
Declare interest...koz kila ukija unakuja na post za tahmeed tu..ukiponda mabasi mengine mathalan klm...weka wazi tu wewe ni mwajiriwa au ndugu au chochote kinachokuhusisha na tahmeed...koz ujio wa basi mpya ni inside info...then muwe mnalipia matangazo!
 
Hongera haya ndo mambo tunataka kuyaona, ushindani kwa ubora na huduma.... Wengine watajifunza kwenu na watakuja na za airbus na zingine ....
 
Braza vipi wapiga gear tunaruhusiwa kutuma maombi uzoefu miaka 31 barabarani!
 
Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.

View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort

is our concern

Mwendokasi pia 2 by 1
 
Ni mazuri ila siti za kati watakuwa wanasumbua sana watu wa dirishani
 
Back
Top Bottom