La mwanamalundihivi wewe kabila gani?
Mkuu hii ni komenti kiroho safi kweli?daah haya bwana
Waambie OUR SAFETY IS OUR CONCERN......Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.
View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort
is our concern
Hayafai kwa sisi wapima oil tukiwa safarini,tunataka siti za kubananaMama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.
View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort
is our concern
sasa ulikuwa unamaanisha nini kutaja zile kabila mbiliLa mwanamalundi
Dar expressHazina hata choo kumbe! Sasa mie napenda zile basi full luxury hapo bado hamjanishawishi.
Halafu Tanzania basi za luxury kweli ni tatizo yani zipo chache sana na ni route chache tu kuna wapuuzi huwa wanadai mabasi yao ni luxury ukilichunguza unakuta ni semi tu huu ni utapeli.
Sumatra sijui wanafanya nini.
Mkulu angenunua kama haya kuliko bombardier zinazogoma kuwaka na kufunguka milango ikiwa hewani
Hiyo iko full luxury?Dar express
YHiyo iko full luxury?
Ila tupo hapa kusikiliza wewe unasema nini na sisi kuitikia AAAMIN!...Raha!sibahatishi nisemacho, hata ratco zilikuwepo. ila hakuna za kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuna zaidi ya Tahmeed. pia nikukumbushe hatupo hapa kubishana
Hahaahahaa daah, Tanzania ya viwanda inakujaSisi tulizoea siti mbanano tukivizia watoto wazuri tuanze kutongoza hizo basi hazitufai, sio user friendly kwa kweli
mkuu mbona unatutukana sisi wahaWakishaanza kupanda wanyakyusa na Waha mtaniambia