Kampuni ya Tahmeed yaleta mabasi mfano wa ndege

Kampuni ya Tahmeed yaleta mabasi mfano wa ndege

Bus mfano wa ndege nikajua linaruka! Kumbe lina viti vyenye lcd screen kama Vits yangu!
 
Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.

View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort

is our concern
Waambie OUR SAFETY IS OUR CONCERN......
 
Mama kwa hakika serikali ya Tanzania haikukosea kuipa cheti cha ushindi kwa mabus ya Tahmeed. Sasa Tahmeed wamezidi kudhihirisha kuwa wataendelea kuwa vinara kwa vipindi vyote na kukosa mpinzani kwa kuleta mabus mapya aina ya zhongtong ambayo ndani yana muonekano kama ndege za boeing ,kwani hadi sasa ndio mabus pekee yenye siti za 2 by 1 mwanzo hadi mwisho wa bus. niliwahi kuwaahidi miezi minne nyuma kuwa watanzania wajiandae kwa ugeni huu mzito.

View attachment 465297 View attachment 465298 View attachment 465299
Tahmeed coach
your comfort

is our concern
Hayafai kwa sisi wapima oil tukiwa safarini,tunataka siti za kubanana
 
Hazina hata choo kumbe! Sasa mie napenda zile basi full luxury hapo bado hamjanishawishi.
Halafu Tanzania basi za luxury kweli ni tatizo yani zipo chache sana na ni route chache tu kuna wapuuzi huwa wanadai mabasi yao ni luxury ukilichunguza unakuta ni semi tu huu ni utapeli.
Sumatra sijui wanafanya nini?

Tunatafuta pesa halali mjue tena kwa akili na nguvu so ninapoitumia pia nataka comfortability full kila sehemu ninapokuwa.
 
Mkulu angenunua kama haya kuliko bombardier zinazogoma kuwaka na kufunguka milango ikiwa hewani
 
Hazina hata choo kumbe! Sasa mie napenda zile basi full luxury hapo bado hamjanishawishi.
Halafu Tanzania basi za luxury kweli ni tatizo yani zipo chache sana na ni route chache tu kuna wapuuzi huwa wanadai mabasi yao ni luxury ukilichunguza unakuta ni semi tu huu ni utapeli.
Sumatra sijui wanafanya nini.
Dar express
 
Back
Top Bottom