Unaziongeleaje ndege?Wataalamu mbalimbali wa mambo ya Radiation ambazo zinasababishwa na vitu kama TV, simu nk. Mnaliongeleaje hili swala la kukaa na kusafiri masaa zaidi ya matano umeegemea siti ambayo nyuma yake kuna TV inayozalisha radiation....mfano huu hapa katika hiz basi za Tahmeed. Wasiwasi wangu ni kuhusu madhara yatokanayo na kukaa karibu na radiation hasa eneo la ubongo.
Yap... Ndo gari luxury dar mtwara hizo..Duh, na hilo nalo ni jina la basi? majina mengine hata ukidhulumiwa kwenye basi utaogopa kwenda kushitaki.
sibahatishi nisemacho, hata ratco zilikuwepo. ila hakuna za kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuna zaidi ya Tahmeed. pia nikukumbushe hatupo hapa kubishana
...hiyo kali.Yap... Ndo gari luxury dar mtwara hizo..
Yan jamaa anataka kutuaminisha kama hizo gari ndo kila kitu ebo!!! Anyway hata ikiwa 1 by 1 me sehemu ambayo msweden yupo sinaga tabia ya kupanda mchina.Duh!!we jamaa unabisha wakati watu tumepanda kabisa
Shabiby anayo tokea Mwaka jana full kuanzia mwanzo hadi mwisho ni 2 by 1 tena na choo ndani plus tv kila kiti
Kimbinyiko dar dom zipo zenye mchanganyiko wa 2 by 2 na 2 by 1 kwenye basi moja na Pia lipo la 2 by 1 full kuanzia mwanzo hadi mwisho
Iv uyo kwny avatar ni ww? Halafu ukiomba kaz ya ukonda kwny hayo mabasi na kule voda unamuachia nan?Naombeni kazi falcon mombasa
At least ndege huwezi kusafiri muda mrefu kama basi...Na ninavyojua kwa upande wa ndege ni lazima zile TV zina uwezo au zimewekewa kifaa maalumu cha kuzuia radiation kama ilivyo katika baadhi ya simu ambazo zina gharama kubwa...Kuna vifaa maalumu vya kuzuia radiation katika simu, tv, laptop nk....ni vyema hawa watu wa mabasi wakavitumia.Unaziongeleaje ndege?
...Kuna vifaa maalumu vya kuzuia radiation katika simu, tv, laptop nk....ni vyema hawa watu wa mabasi wakavitumia.
Bado zipo 2*3. Panda Rahaleo kama unaenda tanga utatongoza tu.Sisi tulizoea siti mbanano tukivizia watoto wazuri tuanze kutongoza hizo basi hazitufai, sio user friendly kwa kweli
Ila hayana pangaboi na hayaruki anganiYanazidi bombarder ya JMPiana
Anapenda kuongea lugha ya kwao ndo maana kauliza Wa lugha zake.hivi wewe kabila gani?
Aisee, kumbe hiyo vits yako uko kama ndege pia!Bus mfano wa ndege nikajua linaruka! Kumbe lina viti vyenye lcd screen kama Vits yangu!
Kweli kabisa mkuu. Uzuri wa safari ndefu wawili wawili.Sisi tulizoea siti mbanano tukivizia watoto wazuri tuanze kutongoza hizo basi hazitufai, sio user friendly kwa kweli
Import ww km unawezaNilifikiri wamefungua kiwanda cha kuunda Mabasi kumbe imports!
Iv uyo kwny avatar ni ww? Halafu ukiomba kaz ya ukonda kwny hayo mabasi na kule voda unamuachia nan?