Kampuni ya Telecome nchini Namibia imeshambuliwa na wadukuzi

Kampuni ya Telecome nchini Namibia imeshambuliwa na wadukuzi

jjackline

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
111
Reaction score
274
Kampuni ya simu ya Telecom inayomilikiwa na serikali ya Namibia imeshambuliwa na wadukuzi na kusababisha uvujaji wa taarifa nyeti za wateja.

Vyombo vya habari vya ndani vimeripoti kuwa wadukuzi waliiba karibu taarifa 500,000 ikiwa ni pamoja na taarifa binafsi na za kifedha za wizara, maafisa wakuu wa serikali na wateja wengine wa kampuni.
IMG_0239.jpeg
 
Back
Top Bottom