BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Ku deposit je ?
Bado itakua ni useless tu.
Mobile money maana yake inakusaidia kutoa pesa popote pale kwa urahisi,sasa nani ana mpango wa kwenda kutoa pesa kwny ATM za Umoja?
Kutakua hakuna utofauti na kupata huduma za kibenk kwny atm's(nani ana muda wa kupanga foleni kwny hizo ATM's)?
Wana uwezo wa kuweka hizo ATM za Umoja ngapi kwny kila mtaa?
Tatzo ni kuwa wengi wataangalia unafuu wa gharama...!watanzania wengi ndo tnachoangalia...!!ATM ikikata 1500 wkt kwa wkala n elf 3....wadhn wabongo ttaenda wapi??
Mkuu hapo ulipo umeona ATM ngapi za Umoja?
Hizo ATMs sio za tiGO, wanaingia ushirikiano na ATMs za Umoja Switch za Banks.
Hii itasaidia tu kwa vile ATMs zinafanya kazi 24hrs tofauti na mawakala.
Swali ni je, hizo ATMs zipo ngapi mtaani kwetu?
Ndugu hata kama zikiwa 3...jua kuna pesa mawakala wa3 wanazikosa...!!nnachosemea n kuwa yawezkana zicwe nyingi...lkn inAbana upataji pesa wa mawakala wa kawaida...!!
Ndugu nmesema ni mkakati...!!kipi ni kigumu kuelewa ndugu??
Kilio kikuu kwa mawakala kinakuja