Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Hujaona kama panga linakata kote kote ? Sababu hawa watu sio lazima wafanye hiyo biashara ujue ? That means tigo inabd waje na mfumo ulio kamilika.. Lakn pia ..ukiangalia wingi wa vibanda..there is no way tigo wataweza weka machine nyingi kias hicho..labda baadhi ya maeneo tu.kwenye maduka makubwa..super market..malls..na vinavyo fanania na hivyo..tofaut na hapo..wakiwanyima wale wa vibandan namna ya kula, watafute na namna ya ku deposit vile vile..tofaut na hapo wanajinyonga wenyeweKudposit faida n ndogo kuliko kutoa