Kampuni ya Ufaransa LUC BELAIRE imemtangaza Diamond kuwa Balozi,ameingia 200 bora za mastaa waliopewa ubalozi Duniani.

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828

-From Millardayo:RASMI.
Mwimbaji wa Tanzania Diamond Platnumz ametangazwa rasmi na Brand maarufu ya WINE UFARANSA kuwa Balozi wake na kuingia kwenye orodha ya mastaa 200 duniani wanaonadi bidhaa za kampuni zao.

-
Taarifa na @officialbelaire imesema kampuni hiyo imevutiwa na nguvu ya kazi aliyonayo Diamond na inatambua yeye ni miongoni mwa wasanii wakubwa Africa, Pia inatambua ushindi wa tuzo zake zilizo tokana na juhudi zake na inaamini ukubwa alionao utatumika kufikisha ujumbe wao kwa mamilioni ya watu.
@MillardAyoUpdates.
 
Tatizo la kiba ni usela na ushamba!!
Mwezie anafanya mziki biashara, yeye kabakia na usela mavi na ushamba.

Ndio maana kiba hawezi weka shoo ya kiingilio 100,000 na akajaza.
Mashabiki wake wengi ni choka mbaya, ambao hawamsaidii chochote zaidi ya kukojoa mitandaoni.

Akienda nje ajifunze, sio kushangaa magorofa,
 
Ni pombe? Mmenikumbusha ngoja niende Bar nikawachangie.
 
wakikujibu fans wake unipe mrejesho kwa kunitag pls
VERY SIMPLE,KWAN UMESAHAU HYO KAMPUNI NI TIGO FIESTA,KWA HYO WAMEMSAIN MOND KWA DAU LA TIGO FIESTA.





Hahahaaaa,eti MTU anauliza mkataba kiasi gani wakati VODA TU WALIINGIA MKATABA WA ZAID YA BILLION




sasa unataka kujua kampuni ilowasaini mpaka kina Rock Ross na DJ khaled,inatoka BEI ganiiiii????????

Mnafikiri Tigo fiesta HYO
Au mnafikiri mondi ni wa vijimikataba mbuzi vya buku jero hukooo
 
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Ukinunua hiyo upigie picha utuonyeshe, sio Bei ya Balimi hiii.


Mkuu nimeshafika, nilisema mmenikumbusha pombe ndio maana nimekuja Bar. Anyway, hivi unajuaje kama ntashindwa kununua hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…