Kampuni ya Ufaransa LUC BELAIRE imemtangaza Diamond kuwa Balozi,ameingia 200 bora za mastaa waliopewa ubalozi Duniani.

Wabongo siwawezi ana mikataba mingi sema hapend show off
Hahahahaa,na HIZO ndo CHAKA zake anazokimbiliaga




Ooohh mi si MTU wa show off !!!

3weeks ago alikua anapewa vichwa na kila sehemu unaenda na misifa huuu


Ooohh umevunja record,sijui nn


Wakati ALIKUA ni record feki,sasa akawa kila siku kwenda kwenye matedio
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Diamond ni level nyingine, sio kwa Tanzania bali hata Africa.
 
Na Hamisa Mabetto anakuwa balozi wa nini wajameni!
 
Huku ndio unakotakiwa mondi sio kwenye drama za kimama na ufuska
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…