Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hii inaitwa ubaya ubwela
Mwosha. Huoshwa
Yaani
Kampuni ya umeme Kenya inadai HALMASHAURI WAKAKATA UMEME
Nao WANADAIWA KODI na HALMASHAURI mashallah wakamwaga UCHAFU MLANGONI
Hii n ubaya ubwelaa
=====
Halmashauri ya Jiji la Nairobi yaziba njia ya maji taka katika ofisi za Kenya Power & Lighting (KPLC) katikati ya jiji la Nairobi, hali iliyopelekea kumwagika na kutiririka kwa majitaka ghafi huku mvutano kati ya KPLC na City Hall ukiendelea.
Mapema leo, Mamlaka ya Kitaifa ya Usimamizi wa Mazingira (NEMA) iliagiza City Hall kuondoa taka zote zilizoachwa katika Stima Plaza siku ya Jumatatu, ikieleza kuwa kitendo hicho ni cha kizembe na kinaweza kuhatarisha mazingira.
KPLC inailaumu serikali ya Kaunti ya Nairobi kwa kushindwa kulipa deni lake la umeme linalofikia KSh bilioni 3, huku kaunti nayo ikidai KPLC ina deni la KSh bilioni 4.8 kutokana na ada za njia za umeme (wayleave fees), hali inayosababisha mvutano mkali.
Source: BuzzroomKenya
Mwosha. Huoshwa
Yaani
Kampuni ya umeme Kenya inadai HALMASHAURI WAKAKATA UMEME
Nao WANADAIWA KODI na HALMASHAURI mashallah wakamwaga UCHAFU MLANGONI
Hii n ubaya ubwelaa
Halmashauri ya Jiji la Nairobi yaziba njia ya maji taka katika ofisi za Kenya Power & Lighting (KPLC) katikati ya jiji la Nairobi, hali iliyopelekea kumwagika na kutiririka kwa majitaka ghafi huku mvutano kati ya KPLC na City Hall ukiendelea.
Mapema leo, Mamlaka ya Kitaifa ya Usimamizi wa Mazingira (NEMA) iliagiza City Hall kuondoa taka zote zilizoachwa katika Stima Plaza siku ya Jumatatu, ikieleza kuwa kitendo hicho ni cha kizembe na kinaweza kuhatarisha mazingira.
KPLC inailaumu serikali ya Kaunti ya Nairobi kwa kushindwa kulipa deni lake la umeme linalofikia KSh bilioni 3, huku kaunti nayo ikidai KPLC ina deni la KSh bilioni 4.8 kutokana na ada za njia za umeme (wayleave fees), hali inayosababisha mvutano mkali.
Source: BuzzroomKenya