Kampuni ya Umeme yaikatia huduma Ofisi ya Halmashauri, nayo yamwagiwa Uchafu mlangoni kwa kudaiwa kodi na Halmashauri

Kampuni ya Umeme yaikatia huduma Ofisi ya Halmashauri, nayo yamwagiwa Uchafu mlangoni kwa kudaiwa kodi na Halmashauri

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hii inaitwa ubaya ubwela

Mwosha. Huoshwa

Yaani

Kampuni ya umeme Kenya inadai HALMASHAURI WAKAKATA UMEME

Nao WANADAIWA KODI na HALMASHAURI mashallah wakamwaga UCHAFU MLANGONI

Hii n ubaya ubwelaa

=====

Halmashauri ya Jiji la Nairobi yaziba njia ya maji taka katika ofisi za Kenya Power & Lighting (KPLC) katikati ya jiji la Nairobi, hali iliyopelekea kumwagika na kutiririka kwa majitaka ghafi huku mvutano kati ya KPLC na City Hall ukiendelea.

Mapema leo, Mamlaka ya Kitaifa ya Usimamizi wa Mazingira (NEMA) iliagiza City Hall kuondoa taka zote zilizoachwa katika Stima Plaza siku ya Jumatatu, ikieleza kuwa kitendo hicho ni cha kizembe na kinaweza kuhatarisha mazingira.

KPLC inailaumu serikali ya Kaunti ya Nairobi kwa kushindwa kulipa deni lake la umeme linalofikia KSh bilioni 3, huku kaunti nayo ikidai KPLC ina deni la KSh bilioni 4.8 kutokana na ada za njia za umeme (wayleave fees), hali inayosababisha mvutano mkali.


Source: BuzzroomKenya
 
Utasikia HALMASHAURI WANASEMA mkabebe tunaleta lingine mkisafisha tunaleta lingine mpaka pesa zetu zirudi zote hahahaaaaa...nao wakambiwa saa 12 mwende makwenu tuone

Hawa watu WANAHITAJI maombisanaa
 
Hii inaitwa ubaya ubwelaaaa

Mwosha. Huoshwa

Yaani

Kampuni ya umeme Kenya inadai HALMASHAURI WAKAKATA UMEME

Nao WANADAIWA KODI na HALMASHAURI mashallah wakamwaga UCHAFU MLANGONI

Hii n ubaya ubwelaa

Kwa hiyo hizo Taasisi za Kenya hazina mawasiliano how comes ??? Au ni ego za viongozi wao wa juu wakati mwingine ugomvi wa mtaani wanaleta ofisini
 
Kwa hiyo hizo Taasisi za Kenya hazina mawasiliano how comes ??? Au ni ego za viongozi wao wa juu wakati mwingine ugomvi wa mtaani wanaleta ofisini
Nyie taasisi zenu zinazosikilizana zimetufikisha wapi.

Kama mbwai na iwe mbwai.Showshow mpaka kieleweke.

Umeme ukiwa hakuna mnawasimanga sana SHIRIKA LA UMEME ILA WADAIWA SUGU WA SHIRIKA HAMUWASEMI.AU MNATHANI SHIRIKA LINAENDESHWA KWA RUZUKU TOKA MBINGUNI.

📌DAWA YA DENI NI KULIPA!!!!USICHOKIPENDA KUFANYIWA USIFANYIE WENGINE!!!
 
Nyie taasisi zenu zinazosikilizana zimetufikisha wapi.

Kama mbwai na iwe mbwai.Showshow mpaka kieleweke.

Umeme ukiwa hakuna mnawasimanga sana SHIRIKA LA UMEME ILA WADAIWA SUGU WA SHIRIKA HAMUWASEMI.AU MNATHANI SHIRIKA LINAENDESHWA KWA RUZUKU TOKA MBINGUNI.

📌DAWA YA DENI NI KULIPA!!!!USICHOKIPENDA KUFANYIWA USIFANYIE WENGINE!!!
Tuache na taasisi zetu kwani zimetajwa wapi kwenye hii thread kwani wangewekeana makubaliano ya kulipana kwa awamu kiustarabu na kwa staha kingeharibika au ni kukosa tu maarifa ,uongozi ni jalala na pia ni jaala ya maulaana sio kudandia tu .
 
Back
Top Bottom