Kampuni ya Umeme yaikatia huduma Ofisi ya Halmashauri, nayo yamwagiwa Uchafu mlangoni kwa kudaiwa kodi na Halmashauri

Tuache na taasisi zetu kwani zimetajwa wapi kwenye hii thread kwani wangewekeana makubaliano ya kulipana kwa awamu kiustarabu na kwa staha kingeharibika au ni kukosa tu maarifa ,uongozi ni jalala na pia ni jaala ya maulaana sio kudandia tu .
Na HEKIMA wale watu hawana HEKIMA kabisa
 
Kipaumbele chao kilikuwa katiba mpya.Inafanya kazi vizuri.Just imagine ingetokea Tanzania wavimba macho wangekuwa na a field day.
Yaani wewe unaona kweli Katiba Mpya inafanya kazi vizuri kwa ujinga huo!!?
 
Yaani wewe unaona kweli Katiba Mpya inafanya kazi vizuri kwa ujinga huo!!?
Kwani mwisho wa matatizo ya Nchi yeyote sio katiba mpya?Au nimeelewa vibaya.Wavimba macho si walikuwa wanawasifia sana Kenya kwamba wana katiba mpya?Hivyo matatizo yote yatakwisha?
 
Ila wakenya asee πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, na hapo wamezuia matumizi ya mpepe, hawa watu si bure waliunda mungiki wana kaujasiri fulani kakifala 😁😁
 
Kwani mwisho wa matatizo ya Nchi yeyote sio katiba mpya?Au nimeelewa vibaya.Wavimba macho si walikuwa wanawasifia sana Kenya kwamba wana katiba mpya?Hivyo matatizo yote yatakwisha?
Hebu onyesha mahusiano ya Katiba Mpya na hicho kilichotokea. Kwenye Katiba ya Kenya kumeandikwa kuwa taasisi ikidaiwa fedha isilipe bali imwage uchafu kwa wadai wake!?
 
Kwani mwisho wa matatizo ya Nchi yeyote sio katiba mpya?Au nimeelewa vibaya.Wavimba macho si walikuwa wanawasifia sana Kenya kwamba wana katiba mpya?Hivyo matatizo yote yatakwisha?
Yaani watu wa CCM uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana. Katiba Mpya na kwisha Kwa matatizo kunahusianaje?
 
Nashangaa unashangaa kwamba Katiba Mpya ndio huwa mnaiimba kwamba ndio suluhisho la matatizo yote.Linapotokea tatizo huwa hamtafiti kwanini limetokea kwenye uwajibikaji bali huwa mnasema tunahitaji katiba mpya.
At least now umeanza kujua kwamba katiba mpya sio suluhisho la kila kitu.
Niliandika kama sarcasm.
 
Reactions: UCD
Imenikumbusha ile vita ya kitambo ya Tanesco na Dawasco.. waliwakatia umeme na na wao wakawakatia Maji mbwai mbwai tu...

And ile mbungi ya Polisi waliokuwa wakipita njia ya Mwendo kasi wakakutana na maaskari wa njia ya mwendokasi wakawekewa misumali wasipiite mziki ukawa poa sana.
 
Wakenya,wanatakiwa wake huku kwetu watupe mafunzo na ujasiri.
Tunateseka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…