Kampuni ya Vunja Bei yashinda tenda ya jezi za Simba Sc

Kampuni ya Vunja Bei yashinda tenda ya jezi za Simba Sc

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mtendaji Mkuu (CEO), Barbara Gonzalez ameitangaza kampuni ya Vunja Bei kuwa mshindi wa tenda ya jezi za Simba.

Kwa mujibu wa Barbara mkataba wa tenda hiyo unagharimu shilingi bilioni mbili na ni wa miaka miwili.

Hata hivyo Msanii wa bongo fleva ambaye ni Mbunge wa zamani wa Mikumi Prof.Jay amesema jambo ambalo linafanywa na viongozi wa Simba ni zuri na lenye manufaa kwa wachezaji na wanasimba kwa ujumla.

“Simba imeonyesha mfano wa kuwaamini vijana wa Kitanzania na kuwapa dhamana kubwa kwa sababu wanaamini vijana kwenda kuleta mabadiliko.”- Profesa Jay.
 
Back
Top Bottom