Kuna taarifa kutoka katika chanzo cha uhakika kwamba kampuni la Alpha ambazo zinamilikiwa na familia ya Edward Lowassa ambazo zinatengeneza mabilioni ya shilingi katika mitandao yake ya kibiashara, zimekuwa zikikwepa kodi mbalimbali ambazo zinatakiwa kulipwa na wafanyabiashara wote, kama vile kodi ya mapato, import duties kwa bidhaa wanazoagiza pamoja na kufanya mawasilisho ya VAT wanayokusanya kutoka kwa wateja wao.
Taarifa zinasema kwamba mchezo huu mchafu ambao hauzingatii hata sheria na mamlaka zinazotakiwa kutoa misamaha hiyo, zinafanyika kwa ushirikiano na vigogo wa TRA ambao wako kwenye pay roll ya wamiliki wa kampuni hizo. Kutokana na ukubwa wa biashara za Alpha na ukubwa wa mapato yao, mapato wanayokwepa yanakadiriwa kuwa ni kwenye mabilioni ya shilingi kila mwezi na yangeweza kuinua pakubwa katika pato la taifa na kwa kufanya hivyo, nchi hii inazidi kudidimizwa na wale wale ambao leo wanataka kupewa dhamana za uongozi katika taifa hili.
Wakati suala hili linaweza kuonekana ni la kawaida hapa nchini kwetu kutokana na kukosekana kwa nia thabiti ya kudhibiti vitendo vya kudhibiti mapato na rasilimali za taifa, katika nchi zilizoendelea kama Marekani mmiliki wa biashara hizi asingethubutu hata kuomba ujumbe wa nyumba kumi akakubaliwa. Huu ni wakati wa watanzania kuamka na kuelewa kwamba tunaposema kwamba Lowassa si mtu safi na aisyestahili kupewa heshima anayopewa na baadhi ya wapambe ambao wameleweshwa na fedha haramu! Umefika pia wakati wa kuifagia TRA maana madudu yao yanazidi kuwawamba watanzania katika msalaba mkali sana wa maisha!
Taarifa zinasema kwamba mchezo huu mchafu ambao hauzingatii hata sheria na mamlaka zinazotakiwa kutoa misamaha hiyo, zinafanyika kwa ushirikiano na vigogo wa TRA ambao wako kwenye pay roll ya wamiliki wa kampuni hizo. Kutokana na ukubwa wa biashara za Alpha na ukubwa wa mapato yao, mapato wanayokwepa yanakadiriwa kuwa ni kwenye mabilioni ya shilingi kila mwezi na yangeweza kuinua pakubwa katika pato la taifa na kwa kufanya hivyo, nchi hii inazidi kudidimizwa na wale wale ambao leo wanataka kupewa dhamana za uongozi katika taifa hili.
Wakati suala hili linaweza kuonekana ni la kawaida hapa nchini kwetu kutokana na kukosekana kwa nia thabiti ya kudhibiti vitendo vya kudhibiti mapato na rasilimali za taifa, katika nchi zilizoendelea kama Marekani mmiliki wa biashara hizi asingethubutu hata kuomba ujumbe wa nyumba kumi akakubaliwa. Huu ni wakati wa watanzania kuamka na kuelewa kwamba tunaposema kwamba Lowassa si mtu safi na aisyestahili kupewa heshima anayopewa na baadhi ya wapambe ambao wameleweshwa na fedha haramu! Umefika pia wakati wa kuifagia TRA maana madudu yao yanazidi kuwawamba watanzania katika msalaba mkali sana wa maisha!