Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Jee mukifanya mgomo wa business zake kama hizo za dry cleaning hazitasaidia?
Natamani ingewezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jee mukifanya mgomo wa business zake kama hizo za dry cleaning hazitasaidia?
Nani ana mamlaka zaidi kati ya Kitilya na body ya wakurugenzi? la zaidi, nini kazi ya body ya wakurugenzi (najua ina prominent professionals).
Dada umeambiwa kuwa Alpha wanaiba kwa kushirikiana na vigogo wa TRA. Sasa unataka hao hao TRA wajishughukie wenyewe?
Halafu wanaibuka mabwege wanaojiita GT ua NSSF Damu ambao kazi yao ni kuimba mapambio ya kuwasifu kwa udhalimu na unyama wao kwa wa-tz, na kuendesha harakati za kuwatakasa. Lakini ukweli unabaki kwamba huyu jamaa ni kama nguo chakavu, kila unaposhona hapa panaachia pale. Lakini pamoja na kwamba Rais wetu JK ameshiba dini na kujaaliwa uvumilivu wa hali ya juu, iko siku ataamka na kuwatia adabu kama ambavyo amekwishaanza na ule moto wa CC. Tunasubiri majeshi ya kukodiwa, wakiwemo wanasiasa machachari na wenye heshima wa upinzani watujie na porojo za kuhamisha mada na kuwatakasa!
Weka ushahidi mwana ili TRA wapate go ahead ya ku...
Kuna dalili ya habari ya kisiasa! ni mtiririko wa maneno tu yasiyo na ushahidi wala chanzo muhimu, Wt ndiyo tunajua kuwa El ni sehemu ya mafisadi wakubwa tz, lakini kwanini Mkweeere hatajwi kwani yeye na mwanae R1 wanautajiri unavunja rekodi ya wenye pesa tz? Wana malori yakutisha yanayo kwenda Rwanda,Kongo,Burundi na wameweka majina ya watu wengine kabisa. R1 ameingiza nchini magari ya kifahari kwanjia za panya kule tanga bila kulipa ushuru hata senti moja, na magari haya tunaushahidi wakutosha kuwa dogo anafanya biznes na baadhi ya marais wengi tu barani Afrika mf: rais wa Guine,rais wa Kongo,King Mswati nk Swali ni je dogo anakampuni ya uuzaji wa magari tena ya kifahari? analipako? mtaji kaupata wapi? WOTE HAWA NI WEZI WA LASILIMALI ZA TAIFA HILI!
Kuna dalili ya habari ya kisiasa! ni mtiririko wa maneno tu yasiyo na ushahidi wala chanzo muhimu, Wt ndiyo tunajua kuwa El ni sehemu ya mafisadi wakubwa tz, lakini kwanini Mkweeere hatajwi kwani yeye na mwanae R1 wanautajiri unavunja rekodi ya wenye pesa tz? Wana malori yakutisha yanayo kwenda Rwanda,Kongo,Burundi na wameweka majina ya watu wengine kabisa. R1 ameingiza nchini magari ya kifahari kwanjia za panya kule tanga bila kulipa ushuru hata senti moja, na magari haya tunaushahidi wakutosha kuwa dogo anafanya biznes na baadhi ya marais wengi tu barani Afrika mf: rais wa Guine,rais wa Kongo,King Mswati nk Swali ni je dogo anakampuni ya uuzaji wa magari tena ya kifahari? analipako? mtaji kaupata wapi? WOTE HAWA NI WEZI WA LASILIMALI ZA TAIFA HILI!
Majungu ugonjwa mbaya sana....mtabaki hivo hivo na majungu hamtakaa kamwe muwe matajiri kwa sababu ya kukalia kufanya majungu..sasa kama hailipi kodi ndo nini?si wapo watu wnaotakiwa kukusanya kodi?nyie vipi bana
mie nikidhani hapa nitakuta vitu vilivyokomaa vya wanabiashara na wachumi. badala yake kuna porojo za mitaani na kisiasa. am disappointed. leteneni mambo ambayo ni scientific. hii thread ilifaa iwe kwenye chit chat. ni bora nyie MODS mkawa mume specialize katika fani mbalimbali kuondoa vitu kama hivi vya "uzushi". we want stuff here.
Mwaga ushahidi wa kisayansi hapa kama cdm wanavyofanya bungeni na nje - kwani lowassa ni nani pakiwa na concrete evidence. Msiamshe mori zetu kwa vitu vya kiporojo.
brother umekodiwa vibaya! Wenyewe wametulia tuli kwa sababu wanajua wanachokifanya halafu wewe uko busy kudai ushahidi. Hebu tuondokee huko!