Kampuni za kuzoa takataka zimegeuka kausha damu

Kampuni za kuzoa takataka zimegeuka kausha damu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wapendwa tumelia na kausha damu lakini kuna kausha damu wengine makampuni ya takataka.

Kuna kampuni inaitwa Mkede hii kampuni Ina miezi sita haijabeba uchafu alafu wamekuja na viongozi wa Serikali za mitaa wanaanza kukusanya pesa za miezi sita.

Wanaulizwa wanasema haiwahusu wakaulizwa watendaji ghafla wanakuletea askari shirikishii, huu ni uhuni na ushenzi.

Kama na nyie mnaleewa wahuni wekeni hapa.
 
YAAN Hawa wahuni wanahisi serikali za mitaa n kila kitu wananchi amkeni wanetolrwa resi hawakuamini na sasa wamesema awaataki kuwaona WATAKA wakandarasi wengine
 
MSISAHAU KUNA BIASHARANA MASLAHI MAKUBWA KATI YA WATENDAJI WA SERIKALI ZA MITAA NA WAZABUNI MBALI MBALI.
MSIJE MKAWA MNAPELEKWA PELEKWA KAMA MAPUNDA.
NAMNA NINYINGINE NI KUPAZA SAUTI MKIWA NA USHAHIDI WA PICHA NA VIDEO
 
Wapendwa tumelia na kausha damu lakini kuna kausha damu wengine makampuni ya takataka.

Kuna kampuni inaitwa Mkede hii kampuni Ina miezi sita haijabeba uchafu alafu wamekuja na viongozi wa Serikali za mitaa wanaanza kukusanya pesa za miezi sita.

Wanaulizwa wanasema haiwahusu wakaulizwa watendaji ghafla wanakuletea askari shirikishii, huu ni uhuni na ushenzi.

Kama na nyie mnaleewa wahuni wekeni hapa.
Imekutokea wapi iyo mkoa gani broo
 
Back
Top Bottom