Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 704
- 2,842
Nipe kazi ya importHabari za mida wadau....
Kama kuna mtu mwenye kampuni, anaefanya kazi, anaejihusisha na mambo ya usafirishaji wa mizigo kuanzia bandarini mpaka kumfikia mteja ndani na nje ya nchi including masuala yote ya clearing and forwarding za mizigo mbalimbali inayoingia nchini tafadhali naomba contacts dm.
Anzia hapa | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Kisha Nitafute tufanye kazi.
Nipo mpaka wa boda ya kasumulu yani mpaka wa Tanzania na Malawi,, 0765891704Habari za mida wadau....
Kama kuna mtu mwenye kampuni, anaefanya kazi, anaejihusisha na mambo ya usafirishaji wa mizigo kuanzia bandarini mpaka kumfikia mteja ndani na nje ya nchi including masuala yote ya clearing and forwarding za mizigo mbalimbali inayoingia nchini tafadhali naomba contacts dm.
Vipi ulishamlipa yule jamaaa aliesemaga anakudai pesa yake miaka miwili hujalipa?Nipe kazi ya import
Toka nchi yeyote ile, mzigo utafika nchini na nitasimamia masuala yote hadi delivery mkoa husika.
Mkuu vipi nikihitaji gari unaweza kuniagizia?Nipe kazi ya import
Toka nchi yeyote ile, mzigo utafika nchini na nitasimamia masuala yote hadi delivery mkoa husika.
Akikujibu nishtue mie nahitaji mabasi used yanayofaa kwa daladala.Mkuu vipi nikihitaji gari unaweza kuniagizia?
- Ndio, naweza kukuagizia, nipe details za gari/link inbox.Mkuu vipi nikihitaji gari unaweza kuniagizia?