NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,952
- 1,181
Asante kwa ushauriKwa uzoefu wangu, ukikosa ALAF pambana angalau upate Sunshare..hizo nyingine ni changamoto.
Hii Alaf mnaiogopa lakini bei zake sio kali sana, fika ofisini kwao ujue utofauti wa bei, kama gap ya huko kwengine na Alaf si kubwa, bora ufute subira uongeze ukanunue Alaf, hautajuta,Nakaribia hatua ya uezekaji, ila uwezo wa kununua ALAF naona sina, kuna mabat mengi yanatangazwa kama Dragon, Taishan, sunbank, Kinglion, Mabati Bomba, Kiboko etc..ni Kampuni gani angalau ina bati angalau bora..Naogopa yasinikute kama hayo.View attachment 2639344
OookayHii Alaf mnaiogopa lakini bei zake sio kali sana, fika ofisini kwao ujue utofauti wa bei, kama gap ya huko kwengine na Alaf si kubwa, bora ufute subira uongeze ukanunue Alaf, hautajuta,
Mi mpaka sasa bati linamelemeta,
Hapo MkuuKwani bati likipauka utakosa usingizi mkuu?[emoji276]
Kwani bati likipauka utakosa usingizi mkuu?[emoji276]
Bila shaka wameshampa mwongozo
Point kubwa hiiKwani bati likipauka utakosa usingizi mkuu?[emoji276]
Mbona alaf bei yake ni affordable mkuu
Mbona alaf bei yake ni affordable mkuu
Sh ngapi?
Kulingana na ubora wake bei yake ni affordable mkuu, jichanganye kanunue hizo za bei chee na ujenzi wetu wa kuungaunga hata hujaamia bati ishapaukaAlaf na AndO bei ni juu sana asikudanganye mtu
Bei ni tofauti kwa kila aina ya bati maana alaf wana bati aina zaidi ya tatu mkuuSh ngapi?