Kampuni za Real Estate

Mechanical

Member
Joined
Oct 20, 2020
Posts
70
Reaction score
106
Habari wana JF,

Heshima kwenu wakubwa zangu, mimi ni kijana umri miaka kadhaa naomba kupata ufafanuzi kuhusu hizi taasisi zinazouza viwanja ( realestate company's).

Hivi ni kweli kuna watu wananunua na wanamiliki au ni njia tu ya upigaji? Naomba kupata mwongozo kwa wale waliowahi kununua kunihakikishia hii kitu ipo kweli hapa TZ, ili na mimi nisije nikawa mchangiaji.
 
Taja kampuni na site ilipo ndio utashauriwa kiufasaha.

Kimsingi makampuni huwa yananunuwa mashamba ya watu na kupima viwanja na kuviuza, au sometimes kuingia mkataba na wenye mashamba kupima viwanja na kuuza kwa kugawana percent.

Migogoro mikubwa hutokea kama wamiliki wa mashamba hawajalipwa fidia au eneo linamilikiwa na serikali.
 
Asante sana kwa mchango wako. Kampuni kama snow propert, vinajana realestate n.k nataman niwape biashara ninunue kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…