Mechanical
Member
- Oct 20, 2020
- 70
- 106
Habari wana JF,
Heshima kwenu wakubwa zangu, mimi ni kijana umri miaka kadhaa naomba kupata ufafanuzi kuhusu hizi taasisi zinazouza viwanja ( realestate company's).
Hivi ni kweli kuna watu wananunua na wanamiliki au ni njia tu ya upigaji? Naomba kupata mwongozo kwa wale waliowahi kununua kunihakikishia hii kitu ipo kweli hapa TZ, ili na mimi nisije nikawa mchangiaji.
Heshima kwenu wakubwa zangu, mimi ni kijana umri miaka kadhaa naomba kupata ufafanuzi kuhusu hizi taasisi zinazouza viwanja ( realestate company's).
Hivi ni kweli kuna watu wananunua na wanamiliki au ni njia tu ya upigaji? Naomba kupata mwongozo kwa wale waliowahi kununua kunihakikishia hii kitu ipo kweli hapa TZ, ili na mimi nisije nikawa mchangiaji.