Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Hakika hii sasa ni kero ambayo inaonesha Serikali ya CCM imeshindwa KABISA kusimamia kampuni za biashara hususani za Simu na yanafanya chochote watakacho na hakuna cha kuwafanya.
Nimeshtuka asubuhi hii kukuta wameongeza tena gharama za vifurishi na kwa speed hii hadi kufikia December tusishangae shs 1,500/ tukajikuta inanunua MB 100 tuu huku viongozi wa Serikali ya CCM wao wakiendelea kugonga glass za mvinyo huko Serena
Nimeshtuka asubuhi hii kukuta wameongeza tena gharama za vifurishi na kwa speed hii hadi kufikia December tusishangae shs 1,500/ tukajikuta inanunua MB 100 tuu huku viongozi wa Serikali ya CCM wao wakiendelea kugonga glass za mvinyo huko Serena