Kwani Buku Jero huwa unapata MB ngapi?
Hapa Tigo GB 1 ni tsh 2000πππππππ
Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa... Nyie ambao kila siku mnadai mambo yako sawasawa kumbe hata hamjui maisha wanaoishi wavuja jasho wa Tanzania yakoje!!??
Wewe si unaweka kifurushi cha Mwaka (Post Paid), haya mambo ya buku jero yanatuhusu sisi makabwela.Hapa Tigo GB 1 ni tsh 2000
Ndio sababu nimemuuliza bwashee!
Nape na tcra kazi yao ni kuangalia maudhui ya picha,video,maneno ya kwenye nyimbo n.k,kuhusu gharama za vifurushi huko tujijue wenyeweKina nape na tcra sijui huwa wanapewa bahasha maana huwezi pandisha tu bila notification
Utatafuta shngapi mkuu kama pesa zinapukutika sababu mfumuko wa beiBongo nyoso sana, wanangu tutafute hela tu