Kampuni za simu zaweza kusaidia kumjua mgoni wako?

Kampuni za simu zaweza kusaidia kumjua mgoni wako?

hivi mbona mie naona huyu mkaka anataka kutumia njia ngumu sana, mbona hambani huyo mkewe amwambie ukweli kama anahic anachezewa rough? hivi kwanini ackae akaongea na muhucka wake badala ya kukimbilia kampuni za cmu, unamuogopa au? mana cmuelewi kabisa jamaa.

hii sasa kali, tangu lini mwizi akakubali??????????? honi hataa mahakamani kila anayesomewa mashitaka hukana !!!!!!!!!

kwa njia hiyo unayopendekeza, kama si mtoto wa nje ya ndoa, nasi ukimwi utawaumbua muda simrefu!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom