KERO Kampuni zinazotoa mikopo mitandaoni

KERO Kampuni zinazotoa mikopo mitandaoni

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Otete Joseph

New Member
Joined
May 19, 2024
Posts
3
Reaction score
6
Kuna kampuni ya kutoa mikopo mitandaoni inatumia majina ya "USTAWI LOAN, HAKIKA LOAN, YOYO PESA na BOBA CASH wanatoa viwango vya mikopo tofauti na wanachokitangaza mitandaoni. Mfano, kwenye app yao Facebook wanatangaza kwamba mkopo wao unaanzia 50,000/= na kuendelea ila ukiomba wanakupa 32,000/= na kukutaka wewe uwarejeshee 50,000/= ndani ya siku saba.

Hata hivyo, siku ya nne tu wanaanza kukudai kwa vitisho kwamba ulipe 50,000/= au wakutangaze mitandaoni kwamba wewe ni tapeli na waanike vielelezo vyako ulizotumia kukopa ikiwepo kitambulisho chako cha NIDA na picha yako.

Screenshot_20240705-182406.png
Screenshot_20240705-182620.png
Screenshot_20240705-182100.png
 
Tumia line yenye contact watatu au wanne mnaofahamiana kisha usiwalipe waache wawapigie simu mpaka wachoke.
 
Kuna kampuni ya kutoa mikopo mitandaoni inatumia majina ya "USTAWI LOAN, HAKIKA LOAN, YOYO PESA na BOBA CASH wanatoa viwango vya mikopo tofauti na wanachokitangaza mitandaoni. Mfano, kwenye app yao Facebook wanatangaza kwamba mkopo wao unaanzia 50,000/= na kuendelea ila ukiomba wanakupa 32,000/= na kukutaka wewe uwarejeshee 50,000/= ndani ya siku saba.

Hata hivyo, siku ya nne tu wanaanza kukudai kwa vitisho kwamba ulipe 50,000/= au wakutangaze mitandaoni kwamba wewe ni tapeli na waanike vielelezo vyako ulizotumia kukopa ikiwepo kitambulisho chako cha NIDA na picha yako.

View attachment 3034405View attachment 3034406View attachment 3034408
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dah ila masikini tunateseka!
 
Back
Top Bottom