Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Mheshimiwa Kamishina kama kuna Askari pale getini tena wenye vifaa vya kukagua ili wajiridhishe nasi kwanini wakimaliza tukiingia ndani na mabegi yetu wanafulazimisha tuyabebe tu mkononi kwa kuyashika na kamwe tusiyaweke begani? Kamishina wa Uhamiaji nitaomba kujua logic behind hili tafadhali.

2. Mheshimiwa Kamishina, gharama ya kutoa copy katika Stationeries zinazoangaliana na Jengo la Uhamiaji Kurasini (ambazo nimeambiwa kuwa nyingi kama siyo zote) ni za Watendaji wa Uhamiaji si tu ni kubwa bali ni za ukatili na kukomoana.

Mheshimiwa Kamishina wa Uhamiaji, sehemu zote nchini Tanzania gharama ya kutoa copy ni Tsh 100/= kwa page na kuna sehemu zingine ni Tsh. 50/= ila katika Stationeries za hapo nje ya Ofisi za Uhamiaji Kurasini ni Tsh. 500/= kwa kurasa (page) moja, kwanini? Nani kawaambia wamiliki wa hizo stationeries kuwa kila anayekuja kupata huduma ya passport hapo ni tajiri?

Hivi wenye hizo stationeries wana hofu na Mwenyezi Mungu kweli? Tafadhali Mheshimiwa Kamishina wa Uhamiaji na wa pale Uhamiaji Kurasini hebu liangalie hili na ulizuie ili huduma ya kutoa copy iwe ni rafiki hata kwa sisi Masikini akina GENTAMYCINE.

3. Mheshimiwa Kamishina wa Uhamiaji na wa hapo Kurasini kuna huu uhuni na upuuzi unafanywa na hao Askari wa JKT na Polisi tena wakiwa wakavu kabisa.

Mheshimiwa Kamishina ukienda tu Ofisi za Uhamiaji Kurasini pale ukiwa na begi ambalo unalimudu kuingia nalo ndani (baada ya k`usachiwa) na kukaa nalo hao Askari wa hapo getini kwa makusudi wanakukataza usiingie nalo ndani bali ukaliweke nje katika maduka (stationeries) kadhaa wenye kujuana nao kisha ukihifadhi hapo unatozwa Tsh. 1,000/=. kisha Jioni ofisi zikifungwa wanakimbilia katika stationeries baadhi (walizokula nao dili) na kuchukua mgao wao wa pesa.

Niliyoyaandika yarekebishwe upesi.
 
watanzania ni watu wa ajabu sana wanapenda sana kutumia shida za watu kujiingizia kipato kisicho halali

mfano hapo kwenye kopi ya tsh 100 wao wanafanya tsh 500 na wanajua watawapata wengi,ujinga huo huo ulikuwepo Police pale ukienda kutafuta loss report

nchi imejaa laana hii watu wanawanyonya watu pesa isiyo halali na ndio mana shida haziishi 😎
 
Sitamani kurudi uhamiaji pale. Walininyima passport bila sababu za msingi.

Waliniuliza sababu ya kuomba passport, nikawaambia nataka kutalii. Wakaniambia nilete barua ya mwaliko.

Sasa watalii wanaalikwa?
Wazungu wakiingia nchini wanakua na barua za mwaliko?

Shenzi sana!
 
Halafu wakuu wote wa Ulinzi na Usalama wameondoka (kustaafu/kutenguliwa) lakini huyu YUMO tu. Huenda kinachombeba ni kwasababu yeye ni.........

Anyway ngoja ninyamaze tu
 
Sitamani kurudi uhamiaji pale. Walininyima passport bila sababu za msingi.

Waliniuliza sababu ya kuomba passport, nikawaambia nataka kutalii. Wakaniambia nilete barua ya mwaliko.

Sasa watalii wanaalikwa?
Wazungu wakiingia nchini wanakua na barua za mwaliko?

Shenzi sana!
NAKAZIA, shenzi!!
 
1. Mheshimiwa Kamishina kama Kuna Askari pale Getini tena wenye Vifaa vya Kukagua ili Wajiridhishe nasi kwanini wakimaliza tukiingia ndani na Mabegi yetu Wanafulazimisha tuyabebe tu mkononi kwa kuyashika na kamwe tusiyaweke begani. Kamishina wa UHAMIAJI nitaomba kujua Logic behind hili tafadhali.

2. Mheshimiwa Kamishina gharama ya kutoa Copy katika Stationeries zinazoangaliana na Jengo la UHAMIAJI Kurasini ( ambazo nimeambiwa kuwa nyingi kama siyo zote ) ni za Watendaji wa UHAMIAJI si tu ni Kubwa bali ni za Ukatili na Kukomoana.

Mheshimiwa Kamishina wa UHAMIAJI sehemu zote nchini Tanzania gharama ya kutoa Copy ni Tsh 100/= kwa Page na kuna sehemu zingine ni Tsh 50/= ila katika Stationeries za hapo nje ya Ofisi za UHAMIAJI Kurasini ni Tsh 500/= kwa Kurasa ( Page ) moja. Ni kwanini? Nani kawaambia Wamiliki wa hizo Stationeries kuwa kila anayekuja kupata Huduma ya Passport hapo ni Tajiri? Hivi wenye hizo Stationeries wana Hofu na Mwenyezi Mungu kweli? Tafadhali Mheshimiwa Kamishina wa UHAMIAJI na wa pale UHAMIAJI Kurasini hebu liangalie hili na ulizuie ili huduma ya kutoa Copy iwe ni Rafiki hata kwa Sisi Masikini akina GENTAMYCINE.

3. Mheshimiwa Kamishina wa UHAMIAJI na wa hapo Kurasini kuna huu Uhuni na Upuuzi unafanywa na hao Askari wa JKT na Polisi tena wakiwa Wakavu kabisa.

Mheshimiwa Kamishina ukienda tu Ofisi za UHAMIAJI Kurasini pale ukiwa na Begi ambalo unalimudu kuingia nalo ndani ( baada ya Kusachiwa ) na Kukaa nalo hao Askari wa hapo Getini kwa Makusudi wanakukataza usiingie nalo ndani bali ukaliweke nje katika Maduka ( Stationeries ) kadhaa wenye Kujuana nao kisha ukihifadhi hapo unatozwa Tsh 1,000/= kisha Jioni Ofisi zikifungwa wanakimbilia katika Stationeries baadhi ( walizokula nao Dili ) na Kuchukua Mgawo Wao wa Pesa.

Niliyoyaandika yarekebishwe upesi.
Mkuu hivi wale DP hawawezi kweli kutuendeshea uhamiaji,maana sisi ndio kama hivyo atuwezi kujiendesha,mtu akipata cheo anataka kuwa Mungu mtu na kuwaanyosha watanzania wenzake
 
Sitamani kurudi uhamiaji pale. Walininyima passport bila sababu za msingi.

Waliniuliza sababu ya kuomba passport, nikawaambia nataka kutalii. Wakaniambia nilete barua ya mwaliko.

Sasa watalii wanaalikwa?
Wazungu wakiingia nchini wanakua na barua za mwaliko?

Shenzi sana!
ndoo maana nawambia hii nchi kuendelea kazi ipo. bora bandari tuwape waarabu tu
 
Shilingi 500 unalalamika ndio utaweza kwenda nje kweli huko ughaibuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au ukawe destute person uitie aibu nchi yetu.

Stationary ni biashara binafsi ambazo zinamilikiwa na wjasiriamali wa nchi hii ambao huruhusiwa kupanga bei kutokana na nguvu ya soko au uliona zinamilikiwa na serikari?

Mbona chakula kinachouzwa Mwananyamara hakina bei sawa na kempisk na haulalamiki?

Unaposema ni Stationary zinamilikiwa na maafisa, je una ushahidi na malalamiko yako?
Je? Sheria haiwaruhusu?
Au wamevunja sheria gani?

Wale unawaona getini sio JKT Wala polisi ni maafisa uhamiaji ila wapo na uniform tofauti.
Au hujui uniform za majeshi ya nchi hii achilia mbali za uhamiaji?

Unaingia na mizigo kwani umesikia ni stendi pale?
Kuwa smart na fata kilichokupeleka.

N.B Mtambulishe kwa cheo chake KAMISHNA JENERALI na sio Kamishna.
Au hujui tofauti ya hayo maneno mawili?
 
Sitamani kurudi uhamiaji pale. Walininyima passport bila sababu za msingi.

Waliniuliza sababu ya kuomba passport, nikawaambia nataka kutalii. Wakaniambia nilete barua ya mwaliko.

Sasa watalii wanaalikwa?
Wazungu wakiingia nchini wanakua na barua za mwaliko?

Shenzi sana!
Duh...
 
Pale Pana stationary zaidi ya 20 zingine hadi kule barabara ya kilwa road hadi sekondari ya jitegemee vipi umefanya tafiti nazo Bei elekezi ni moja 500
 
Back
Top Bottom