Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Mkuu mubali usimubali mkeo analiwa kabsaaa. Usijipe moyo et kukata utepe ndo atatulia. Huenda ndo ulifungulia mbwa wafanye yao. Jaribu kufuatilia kimya kimya, utakuja kufuta huu uzi


Nilishasemaga huku miaka nenda Rudi siwezi ishi na mtu nisiyemfuatilia.

Mbona Hilo liko wazi. Siishi Kama Mbuzi.

Siku mke wangu akiliwa nitasema hapa hapa. Usifikiri nitaona aibu.

Ila huu mwaka wa 10 bado wanamshindwa, huu mwaka wa 8 tangu tufunge ndoa watu wanahangaika naye lakini wapi.

Sijipi moyo kwani najua ninachokifanya
 
Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.

Hili ndio neno
 
Bro nilikua nnawasiwasi umepita na wife naona umenithibitishia sasa we mwenyewe. Naomba uendelee tu maana saivi ananiheshimu sana, anahisi mimi najua chochote. We faidi mautamu ya wife [emoji23]


πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Na wewe endelea kumkonyeza Mke wangu maana kasema analipenda konyezo lako.
 


Sisi ndio Yale mashetani yanayokemewa na Maamposa kila siku Huko

Mtu unamke mzuri alafu unakonyesa konyeza wake za watu ukitoombewa unaanza kutishia kujiua.

Jiue tumioe kabisa Mkeo. Shenzi!
 


Siwezi ishi na mtu nisiyemchunguza Mkuu.

Mimi ni mwanaume siogopo kuchunguza na kuujua ukweli.

Nimesema siku mke wangu akiliwa nitaandika hapa mpaka sasa wanamtongoza tuu na Hilo kwangu sio shida maana mke wangu ni Mzuri.

Shida ni Wale ving'ang'anizi hawa ndio ninawatoombea wake zao tena kilaini mno.
 


Hao wanafikiri binadamu tunafanana usiwashangae.

Mimi kiufupi siwezi ishi na mtu bila ya kumchunguza. Hiyo inanisaidia kujihami na kuepusha matatizo yanayoepukika
 


Wengine tumechagua njia hiyo.
Tunafurahia maisha na tunayamudu
 


Wengine tumechagua njia hiyo.
Tunafurahia maisha na tunayamudu
 
Wengine tumechagua njia hiyo.
Tunafurahia maisha na tunayamudu
Believe me, hakuna unachofurahia! Believe me, bado hujayamudu maisha hata kidogo! Kuna watu walikuwa vitombi kukuzidi! Wewe ni mtoto mdogo sana kwao lakini mwisho waligundua wanapoteza muda! Kuna wakati unaweza kufikiri unatesa kumbe unateseka sema tu hujui! Muombe Mungu akufungue macho yako ya rohoni uone unavyoteseka!
 
Tunadeal na mental case hapa.

Katika saiokolojia hua tunaambiwa kua macho na mtu anayetumia namba tatu kama hitimisho la muda wa tukio.

Mfano nikampiga ngumi tatu tu akaanguka. Au nikasubiri siku tatu ndiyo nikampigia. Hapa jamaa anasema katumia siku tatu.

Hii stori ni uongo ambacho ni ukweli ni kwamba mkewe kamegwa na jamaa wa hazina
 


Kama ni maoni yako upo sahihi.
Ila uhalisia haupo sahihi.

Mke wangu akimegwa nitasema wala Hilo sitalificha
 
Kuna mwenzio alioa bikra, sasa jamaa alikua busy...watu wa JF walijipigia kidogo jamaa awe chizi.
Oa mdada anaye jiheshimu tuu.
 
Hiyo mkeo tutamla we subiri nothing impossible, tena kula mke wa MTU m'bishi kama were ni fire sana, unakula huku unamwambia mtukane joka jeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…