Kamtongoza Mke wangu, nikamla mke wake

Duuh wagonjwa wengi kuna ligi za ajabu ungetupia kwa mpalange kama wote. Ndezi wa aina hii ni wa kuwapa hadi sumu au tindikali
 
Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
Hajui anajifariji, watu kama yeye hajui wanawake walivyo...huyu ni maboya katika maboya..

Watu wapole wabaya sana...wahuni watu wabaya sana
 
Baharia wew ni mwamba ila ulichofanya ni upuuzi tuu, naamini huyo unaemsifu mzuri na kutishia watu kuwalia wake zao ipo siku utafurahi katika nafsi...
 
Subili yatakukuta

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hakuna wanawake wepesi kuliwa kama walioolewa bikra,mkuu tainoayewanadamu kalaaniwa
 
Wengine hawajaoa wala hawana dada yuko bi mkubwa.

 
Boss kwa swaga hizi utakuwa unagongewa sana trust me. Nilifikiri mkeo alikwambia kwamba jamaa anamtongoza, kumbe wewe ndio ulifumania mkonyezo. Huwezi jua labda almkonyeza kumkumbusha asisahau ahadi ya kukutana tena loji kama kawaida yao.
Kapigiwa huyu tayari, vijana wamemaliza kazi. Bikra sio kigezo cha kutotafunwa.
 
Safi sana Mkuu, nilikuwa nasoma hapa kitabu cha 33 strategies of War, nilipoiona hii post nikasitisha kidogo kusoma kitabu hiki, sasa nimemaliza kusoma post yako nimerudi tena kusoma hiki kitabu huku nikitabasamu.

Adui akionyesha dhamira tu ya kukudhuru, wewe unatakiwa kumuangamiza kabisa kabla hata hajatekeleza nia yake. Hakuna huruma.
 
Ngoja siku ufumuliwe marinda tuone huo u joka jeusi wako.Tena unafumuliwa na mkeo akiwa anaona.

Ushauri wangu.
Usipende kulipiza kisasi kwasababu kuna wakulungwa Wana mioyo ya ajabu, Yaani anamkaza mkeo,wewe,wanao halafu anamalizia kwa kukuondoa roho.
 
Vuguvugu la kuteka miji ya Ukraine
 

Wewe hii Ni Chai,
Unajivunia Mke wako…Eti wako Peke yako…Hahaa tena anafanya Kazi Maofisini na Mabosi na Washkaji…
We Wadanganye Maboya!
Kwanza Hapa Hujaeleza Ilikuwaje Ukamla huyo Mke wa Jamaa,Eti Umeishia Kusema Ukamla Mke wake ndani Ya Siku 3!
Wadanganya Watoto wenzio Mkuu!
Kasome hata Kula Tunda Kimasihara…
Kuna Hatua watu wametiririkaaa mpaka wakala…
Ni wewe tuu Hujui…Labda ungekuwa wewe Ni Mjeda ndio Ngumu Kuliwa Lakini Kijana tuu wa Mjini???Wanakutafunia tuu Chaap!
Eti Kisa Umembikiri ndio watu hawawezi Kumchakata!
Unajifariji mqenyewe Kaka!
 

Wewe Muongo Mke wako analiwa sana tuu tena Kisela…
Unedanganya watu hapa…eti Umemla Mke wa Jamaa…100% Huna Miaka hata 5Kwwnye Ndoa wewe ndio Maana Unasema haya…Oooh sijui Mke wangu…Mke wangu…Mke wangu nampenda Kuliko chochote duniani…na Blaa blaa zingine
 


Jirani Acha hasira. Ndio mkeo nimeshamla.

Umemtishia talaka akakuambia mpe😀😀
Naendeleza jaramba mpaka muachane. Kenge wee!
 


Mimi ndiye muasisi wa wakulungwa.

Ukibipu Sisi tunapiga
 
Baharia wew ni mwamba ila ulichofanya ni upuuzi tuu, naamini huyo unaemsifu mzuri na kutishia watu kuwalia wake zao ipo siku utafurahi katika nafsi...

Komando haogopi vita MKUU.

Ukijiingiza kwenye 18 za wahuni Kama Sisi tunalala na wewe mpaka utokomee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…