Kamwaga: Inatakiwa Simba hata ikiwa na afisa habari bubu mambo yanaenda

Kamwaga: Inatakiwa Simba hata ikiwa na afisa habari bubu mambo yanaenda

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Tunaandaa mkakati wa mawasiliano wa klabu ambao utatusaidia kuhakikisha wana Simba wanapata taarifa kwa haraka kila wakati.

Huko tunapokwenda inatakiwa Simba hata ikiwa na afisa habari bubu mambo yanaenda. Unaingia kwenye mtandao unapata taarifa rasmi.

Mwisho wa siku mtu muhimu kuzungumza kwenye klabu ni kocha hasa pale mashindano yakianza, sasa afisa habari unataka kuzungumza kila siku utoe taarifa gani?

Amenukuliwa Kamwaga
 
Screenshot_20210905-091940~2.png
 
Kuna habari na hamasa , tulipo tunahitaji mtu Wa hamasa

hamasa iko kwenye matokeo.... mpira sio mziki wala hautaji promoshen... ndo maana tuko Africa lakini bado ni mashabiki vindak ndak wa team za ulaya.. na wengine wanachama kabisa official

sababu mpira ni burudan pekee haiitaji kupigiwa debe ndo maana hata uchezwe saa nane za usiku watu watajaa uwanjan na kwenye TV kuangalia

mashabiki wa mpira wamezaliwa wanapenda mpira yaan mpenz wa michezo iwe boxing au mpira au basket hawez kukupa sababu kwa nini anapenda huo mchezo ila mpenz wa club ama mchezaji ndo anakuwa na sababu

ndo maana utakuta mpira wa mtaan na wala sio wa mashindano watu wamejaa na wala hakuna aliewatangazia..

hao wahamasishaji wanatakiwa wawepo kipindi cha kuuza KITS kwa ajili ya matamasha tu.. sababu ni kibiashara zaid na team zitumie tu watu maarufu kwenye tukio husika basi baada ya hapo business as usual hawatakiwa kuwa sehem ya club organization sababu hawana direct impact sana sana wanapotosha watu tu matokeo yake tunakuwa na wapiga makelele

kama team haina matokeo mazur hata anene vip kwa lugha hawatajaza uwanja ingekuwa hivyo basi team za chini wangetafuta wahamasishaji wa maana watu wajae uwanjan

sijui hii fikra ya kuona mhamasishaj ana nguvu ya kuinyanyua team inatoka wapi.. mbona hao wahamasishaji hawahamasishi watu wakajaza uwanja simba au yanga zikicheza na mwadui au ndanda
 
Back
Top Bottom