CCM wakimuweka Mama Samia, watakuwa na chansi kubw zaidiya kushinda kwenye sanduku la kura.
kwa kuwa huyu mama Ni mzalendo kidogo na Huenda akakubali vipaumbele vya wazanzibari.
Hata hivyo kura za kina mama atazikwaa ambazo ndio nyingi kuliko wanaume.
Mimi naomba wasimmpe ili CCm ipate kipigo cha mbwa KOKO kama kawaida yao, hlafu mwaka huu wafute tena uchaguzi mchna kweupe bila ya sababu za msingi,waone joto ya jiwe.
No sizugi kujifanya mwema, bali kiukweli Pasco Mayalla ni mtu mwema kabisa wa ukweli, hata siku ukisikia Mungu amenipenda zaidi, ujue nimeenda straight to heaven!.
P
Hakuna shida naweza kukupamajina yangu na picha ukitaka na adress, mimi nawajuwa Wazanzibari, watu wangu, sisi hatuna shida na mwanamke, shida yetu ni vipaumbele vyetu, vikizingaiwa hata awe baradhuli, tutampa, ubaradhuli itakuwa mambo yake binafsi.Una bahati sana Wazanzibari hawakujui kwa Majina yako halisi, ila kwa kutaka Watawaliwe na Mwanamke ungeyakoga sana tu Matusi yao Ndugu.
Tangu mwanzo nimesisitiza humu, tusitishane na usomi wa viwango vya elimu na mavyeti, nimesema kuna watu ni ma Ph.D holders lakini ni vilaza, na kuna watu ni STD 7 lakini ni ma GT!.Na unaweza kukuta hata wengine tukisema tuonyeshane Matokeo yetu ya Kitaalama tokea Msingi hadi Chuo Kikuu Yeye ndiyo akawa Kilaza sana.
Mkuu Mbona jama leo wamekusakama sana hawa vijana, umewafanya nini?No sizugi kujifanya mwema, bali kiukweli Pasco Mayalla ni mtu mwema kabisa wa ukweli, hata siku ukisikia Mungu amenipenda zaidi, ujue nimeenda straight to heaven!.
P
Learning to appreciate yourself and love yourself is the greatest love of all. Mimi ni mtu ninayejitambua, sisubiri kusifiwa ile siku ya ile safari, najitambua mimi ni mwema na ku ji appreciate, bila kusubiri kusifiwa na ninaunga mkono watu wote kujipenda, charity begins at homeMtu Mwema huwa anajitaja au Watu ndiyo humuona hivyo?
Mkuu Battawi, asante kwa fagilia.Mimi nadhani Uko vizuri tuu Mkuu, japo nakutuhumu kwa kuwachukia wazanzibari kwa kuchanganya damu na waarabu,(history hii ya kubaki isiyofutika haikwepeki )
Mkuu Battawi, asante kwa fagilia.
Haya ya vilaza wa jf, tuyaache, if ni ya wote, ma GT na vilaza, tuu pamoja
Siwachukii Wanzanzibari, tena ungelijua mimi nikoje na Wanzanzibari, huwezi amini, nisije nikasema humu, mkanijia juu!.
P
Kuna watu wengi wana suffer ugonjwa wa insecurity ya kutojiamini na kudhani kila mtu humu ana multiple ID's, unaosababishwa na deep rooted neurosis bila wao kujijua!, ukiisha jua kuwa mtu unaejadiliana ni neurosis case, then you do the right thing of which ndio I do from now, this is my last post kukujibu.Unahangaika na Kujitutumua kujibu kila mara kwakuwa Ujumbe niliokupa umekuingia na unakuuma kwelikweli hadi unakuja na ID's zako zingine.
Najuwa yaliyokukuta mkuu 😀 , lakini si ume 'give up',au uliendelea kufanya juhudi kutafuta tafuta mpya Mkuu ?Mkuu Battawi, asante kwa fagilia.
Haya ya vilaza wa jf, tuyaache, if ni ya wote, ma GT na vilaza, tuu pamoja
Siwachukii Wanzanzibari, tena ungelijua mimi nikoje na Wanzanzibari, huwezi amini, nisije nikasema humu, mkanijia juu!.
P
No sikuthubutu tena!.Najuwa yaliyokukuta mkuu 😀 , lakini si ume 'give up',au uliendelea kufanya juhudi kutafuta tafuta mpya Mkuu ?
Sisi hatuna Nongwa bana, Unguja ni njema, atakae naaje,
Hongera comrade...unauwezo na ninaamini awamu hii..utaingia mjengoniDuh!, subiria tuu, bado namtafuta Polepole, nikiisha mpata...
Nimeamua Kustaafu Rasmi JF, Utangazaji na Uandishi wa Habari Baada ya Kuhudumu Miaka 30. Niko Free Kujiunga Siasa, Nimejiunga CCM na Nitagombea Ubunge
P
Ngoja niongeze speed ya kumsaka PolepoleHongera comrade...unauwezo na ninaamini awamu hii..utaingia mjengoni
Uwezo unao,Nia unayo na sababu unazo
Jf raha san khaaaaahMimi niwahakikishie kuwa kuna mwamba mmoja atatokea out of nowhere (Sio Hussein, sio Makame wala Bi Mkubwa) na kufanikiwa kula tunda kimasihara kama ilivyotokea kwa Joni mwenyewe 2015 tunda lilipomdondokea kimasihara.[emoji2]
@gentamycine umesomekaKuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.
Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.
Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.
Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Kwa mara ya kwanza Ccm inawaletea wazanzibar rais mkristu tena Mrangihalafu utamu zaidi hawa wote hawajawahi kuhudumu kabisa kwa ukamilifu katika SMZ
Huyu Makame ndo hata jimbo alishindwa kulipata kule kwao ni Ngangari tupu. Labda akaanzie na uwakilishi kwanza
ila siasa za mwaka 2020 zitakua na mengi mapya kama tuliyoyashuhudia yakitokea miaka hii 5 yote. Yale yasiyowezekana yamewezeshwa kuwezekana. Tunapata new "NORMALS"