Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

CCM wakimuweka Mama Samia, watakuwa na chansi kubw zaidiya kushinda kwenye sanduku la kura.
kwa kuwa huyu mama Ni mzalendo kidogo na Huenda akakubali vipaumbele vya wazanzibari.
Hata hivyo kura za kina mama atazikwaa ambazo ndio nyingi kuliko wanaume.

Mimi naomba wasimmpe ili CCm ipate kipigo cha mbwa KOKO kama kawaida yao, hlafu mwaka huu wafute tena uchaguzi mchna kweupe bila ya sababu za msingi,waone joto ya jiwe.

Una bahati sana Wazanzibari hawakujui kwa Majina yako halisi, ila kwa kutaka Watawaliwe na Mwanamke ungeyakoga sana tu Matusi yao Ndugu.
 
No sizugi kujifanya mwema, bali kiukweli Pasco Mayalla ni mtu mwema kabisa wa ukweli, hata siku ukisikia Mungu amenipenda zaidi, ujue nimeenda straight to heaven!.
P

Mtu Mwema huwa anajitaja au Watu ndiyo humuona hivyo? Acha Unafiki na Kujikweza Kwingi badilika!
 
Una bahati sana Wazanzibari hawakujui kwa Majina yako halisi, ila kwa kutaka Watawaliwe na Mwanamke ungeyakoga sana tu Matusi yao Ndugu.
Hakuna shida naweza kukupamajina yangu na picha ukitaka na adress, mimi nawajuwa Wazanzibari, watu wangu, sisi hatuna shida na mwanamke, shida yetu ni vipaumbele vyetu, vikizingaiwa hata awe baradhuli, tutampa, ubaradhuli itakuwa mambo yake binafsi.
 
Na unaweza kukuta hata wengine tukisema tuonyeshane Matokeo yetu ya Kitaalama tokea Msingi hadi Chuo Kikuu Yeye ndiyo akawa Kilaza sana.
Tangu mwanzo nimesisitiza humu, tusitishane na usomi wa viwango vya elimu na mavyeti, nimesema kuna watu ni ma Ph.D holders lakini ni vilaza, na kuna watu ni STD 7 lakini ni ma GT!.
Nikasema dalili ya kwanza ya kilaza ni kujenga hoja based on lies, hoja zake zikipanguliwa with references, vilaza hawana uwezo kufanya references na hata wakiwekewa references, hawana uwezo wa kusoma rejea.

Mfano mzuri wa vichwa hivi ni hiki
Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

Vichwa watasoma, ila vilaza wenzangu na mimi, tuendeleeni tuu.
P
 
No sizugi kujifanya mwema, bali kiukweli Pasco Mayalla ni mtu mwema kabisa wa ukweli, hata siku ukisikia Mungu amenipenda zaidi, ujue nimeenda straight to heaven!.
P
Mkuu Mbona jama leo wamekusakama sana hawa vijana, umewafanya nini?

Hii jf sikuhizi imevamiwa na watu wasiopenda hoja tofauti, na kwa mtindo huu hatuwezi pata tija na mijadala hii..
Mimi nadhani Uko vizuri tuu Mkuu, japo nakutuhumu kwa kuwchukia wazanzibari kwa kuchanganya damu na waarabu,(history hii ya kubaki isiyofutika haikwepeki ) lakini Mimi sikuchukii.

naamini Umtu Mzuri tuu, tena mwenye Tafakuri nzuri sana za kisomi na zenye kufikirisha.
Wengi wanakutazamakwenye Angle Moja tuu,wakati wewe ni Binadamu muandishi mwenye Experiance na mitazamo + tele.
Mpeni heshima yake Mzee P.
 
Mimi nadhani Uko vizuri tuu Mkuu, japo nakutuhumu kwa kuwachukia wazanzibari kwa kuchanganya damu na waarabu,(history hii ya kubaki isiyofutika haikwepeki )
Mkuu Battawi, asante kwa fagilia.
Haya ya vilaza wa jf, tuyaache, if ni ya wote, ma GT na vilaza, tuu pamoja

Siwachukii Wanzanzibari, tena ungelijua mimi nikoje na Wanzanzibari, huwezi amini, nisije nikasema humu, mkanijia juu!.
P
 
Mtu aliesoma kwa pesa za wanyonge halafu akakimbilia ughaibuni bila ya kuitumikia nchi, hatuwezi kumpa hata udiwani never........
 
Mkuu Battawi, asante kwa fagilia.
Haya ya vilaza wa jf, tuyaache, if ni ya wote, ma GT na vilaza, tuu pamoja

Siwachukii Wanzanzibari, tena ungelijua mimi nikoje na Wanzanzibari, huwezi amini, nisije nikasema humu, mkanijia juu!.
P

Unahangaika na Kujitutumua kujibu kila mara kwakuwa Ujumbe niliokupa umekuingia na unakuuma kwelikweli hadi unakuja na ID's zako zingine.
 
Unahangaika na Kujitutumua kujibu kila mara kwakuwa Ujumbe niliokupa umekuingia na unakuuma kwelikweli hadi unakuja na ID's zako zingine.
Kuna watu wengi wana suffer ugonjwa wa insecurity ya kutojiamini na kudhani kila mtu humu ana multiple ID's, unaosababishwa na deep rooted neurosis bila wao kujijua!, ukiisha jua kuwa mtu unaejadiliana ni neurosis case, then you do the right thing of which ndio I do from now, this is my last post kukujibu.
Uwe na amani my friend, kutokujiamini ni tatizo!.
Pole.
P
 
Mkuu Battawi, asante kwa fagilia.
Haya ya vilaza wa jf, tuyaache, if ni ya wote, ma GT na vilaza, tuu pamoja

Siwachukii Wanzanzibari, tena ungelijua mimi nikoje na Wanzanzibari, huwezi amini, nisije nikasema humu, mkanijia juu!.
P
Najuwa yaliyokukuta mkuu 😀 , lakini si ume 'give up',au uliendelea kufanya juhudi kutafuta tafuta mpya Mkuu ?
Sisi hatuna Nongwa bana, Unguja ni njema, atakae naaje,
 
Hatareeee san mweeeeeh, tutayashuhudia mengi safari hiii
 
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
@gentamycine umesomeka
 
halafu utamu zaidi hawa wote hawajawahi kuhudumu kabisa kwa ukamilifu katika SMZ

Huyu Makame ndo hata jimbo alishindwa kulipata kule kwao ni Ngangari tupu. Labda akaanzie na uwakilishi kwanza

ila siasa za mwaka 2020 zitakua na mengi mapya kama tuliyoyashuhudia yakitokea miaka hii 5 yote. Yale yasiyowezekana yamewezeshwa kuwezekana. Tunapata new "NORMALS"
Kwa mara ya kwanza Ccm inawaletea wazanzibar rais mkristu tena Mrangi
 
Back
Top Bottom