Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Mzee wa kujikomba hukosekani
 
It Just a matter of time we can see naamini kama hussein akienda kukosa hii nafasi aliyotarajia na anayoitaka basi huu italeta mzozo ila siamini.
 
Duh...!. Jf ya siku hizi!, vilaza wametamalaki sana humu, mtu alete hoja za uongo, akitokea mtu akapangua hoja kwa hoja, unaambiwa anajikomba!.
Duh...!.
P

Ungekuwa una Akili ungeacha tu hata Kuuchangia / Kuushobokea huu Uzi kwani kwa Upuuzi unaoujibu ndiyo unazidi kuonekana ulivyo Hamnazo.
 
It Just a matter of time we can see naamini kama hussein akienda kukosa hii nafasi aliyotarajia na anayoitaka basi huu italeta mzozo ila siamini.

Kwani Hussein Mwinyi aliandikiwa kuwa akizaliwa tu ni lazima atakuja kuwa Rais wa Zanzibar 2020? Basi ninakuhakikishia hatokuwa Yeye niamini.
 
Mkuu funika kombe life liendelee
 
Ungekuwa una Akili ungeacha tu hata Kuuchangia / Kuushobokea huu Uzi kwani kwa Upuuzi unaoujibu ndiyo unazidi kuonekana ulivyo Hamnazo.
Wee jamaa unaboa Sasa unaonekana una chuki binafsi na P. Na hii inaonesha jinsi unavyokazana kumshambulia yeye binafsi.kukukosoa kuwa una potosha isiwe sababu ya kumchukia naona Sasa una kazi ya kumu attack yeye badala ya kujibu hoja kwa hoja, unajishusha hadhi pia utaonekana kilaza bure.ni ushauri tu huu!!
 

Nilikuambia na naendelea Kukuambia kuwa kupitia Uzi huu utaendelea Kuzitumia ID's zako zote ili uonekane unakubalika wakati ni Wewe Mmoja.
 
Nilikuambia na naendelea Kukuambia kuwa kupitia Uzi huu utaendelea Kuzitumia ID's zako zote ili uonekane unakubalika wakati ni Wewe Mmoja.
Kweli wewe kilaza hii I'd ya p? Pili Pascal ni nguli Ni great thinker humfikii hata chembe Kama kukoselewa tu kwa upotoshaji umekuwa mkali kweli utajiita great thinker? [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Kweli wewe kilaza hii I'd ya p? Pili Pascal ni nguli Ni great thinker humfikii hata chembe Kama kukoselewa tu kwa upotoshaji umekuwa mkali kweli utajiita great thinker? [emoji23][emoji1787][emoji2960]

Kwani JF Members wote tumejiunga hapa JamiiForums ili tuchangie, tushauri na tuburudike au tushindane na huyo Mpuuzi Mkomavu Mwenzako?
 
Kwani JF Members wote tumejiunga hapa JamiiForums ili tuchangie, tushauri na tuburudike au tushindane na huyo Mpuuzi Mkomavu Mwenzako?
Ndio ujiulize wewe unae mua attack mtu badala kwenda hoja kwa hoja na kuzidi kupotosha kila anae comment kinyume na matarajio yako unapotosha Tena kuwa ni I'd ya Pasco. Lazima uwe mkomavu
 
Ndio ujiulize wewe unae mua attack mtu badala kwenda hoja kwa hoja na kuzidi kupotosha kila anae comment kinyume na matarajio yako unapotosha Tena kuwa ni I'd ya Pasco. Lazima uwe mkomavu

Naona baada ya Kujitahidi kutuma Maombi ya kuwa Mke wake Mbadala Kubuma sasa umeamua Kujikomba hivi Kwake ili labda aweze Kukufikiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…