Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Zanzibar 2020 Kamwe Joni hawezi Kusafiri na Hussein kwenda nae Zanzibar, ila atasafiri na Makame ambaye si tu amemzoea bali pia anammudu sana

Anza kuangalia wa kwanza hapa jf ni nani tutajua anayetumia ya mwenzake ni nani
Mimi hii hapa trehe yangu ya kujiunga Mar 29, 2014
N hii hapa ya kwako ya kujiunga Sep 4, 2014
Nimekutangulia kwa miezi 6 .
 
CCM hawawezi mrejesha mpemba tena kutawala zanzibar wahafidhina wa unguja ndio kabisaaa hawatokubali asilani mpemba watawale kwa kufuatana.

Hata 2010 Dr. Shein kuingia ikulu ikiwa ni mpemba wa kwanza kuingia ikulu ya malindi wahafidhina hao wa kiunguja wana CCM kindakindaki waliandika kwenye mbao zao za Matangazo maskani kongwe ya CCM Kisonge unguja waliandika kwa maandishi makubwa wakisema "Hizbu wawili waingia ikulu" wakimaanisha wapemba Dr. Shein na Maalim Seif(makamu wa rais)

Shida ya Zanzibar ni upemba ma uunguja, huku waunguja wakijiona wao ndio wana milki ya Visiwa hivyo.

Pamoja na yote Dr. Hussein Mwinyi bado ni chaguo bora sana kumzidi Prof Mbarawa, Mbarawa ni kutoka jimbo la Mkanyageni pemba hajawahi hata siku moja kishinda nafasi ya Kuchaguliwa na Wananchi.
Alibwagwa na Eng. Habib Mnyaa wa CUF jimbo la Mkanyageni 2010.
Hii inaomuondolea confidence mbele za watu.

Dr. Hussein tayari ameshaanza kuandaliwa kunrithi Dr. Shein.
Dr. Hussein ni mtu muungwana sana asiye na makuu kama alivyo baba ake hakika "Embe halianguki mbali na mti wake".


Kila la heri Muungwana Dr. Hussein Mwinyi unastahili.
Hakika na kweli imekuwa heri kwake Dr. Hussein
 
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.
Vipi sasa John anakwenda na Hussein!!
Bavicha wengi wenu mtaishia kuwa wachawi
 
Kuna Mzee Mmoja ( Jina Kapuni ) japo alishawahi Kuniongoza Kikatiba huko nyuma taratibu sasa naanza kuona jinsi ambavyo huenda Ugonjwa wa Moyo utakavyoanza Kumuathiri na pengine hata Israeli anaweza Kuamua Kuondoka nae mapema tu kwenda katika Mapumziko yake ya Milele.

Sababu kubwa ni kwamba kama kuna Mzee ambaye si tu alikuwa anajikomba bali bado pia anajikomba kwa Joni huku akijiaminisha kabisa kuwa iwe isiwe Mwanae Mpendwa aliyeyazoea Maisha ya kuishi na Wanajeshi kwa miaka mingi atakuja nae Kuirithi Kazi yake huko kwa Waunguja na Wapemba ila kwa upepo unavyoenda sasa Mwanae huyo hiyo Kazi ataisikia tu katika Bomba.

Si tu kwamba Joni hataki Kuongozana na Hussein katika Safari yake ya kwenda Kisiwani Zanzibar ila anaogopa kuwa huenda huko mbeleni akaja Kumsumbua hasa ukizingatia Hussein kaanza kuwa katika Mfumo kabla yake na ana Mtandao mkubwa ulioratibiwa vyema na Baba yake alipokuwa Kazini hivyo anaona bora tu asafiri na Makame ambaye amemzoea na anammudu vilivyo kabisa.

Na kinachosikitisha na hata kutia Huruma kabisa ni kuwa tayari Hussein alishaanza Kuuvaa uhusika wa hiyo Kazi anayoenda Kuikosa na Kuijutia.

Mzukulu naona wajuba wa ccm wamekuchania mkeka.
 
Hongera Dkt HAHM Naona Leo Mzee AHM atalala na filatu ....kwa furaha jambo lake limetimia !!! Ila Mzee ameimba mapambio nae duuuu
 
Majungu tu, John hamuogopi mtu yeyote si hapa nchini bali dunia nzima,yeyey anamuogopa Mungu tu,halafu wewe si Mungu unaweza kutangulia wewe mahala pa milelel na mzee wa watu akaendelea kudunda.
Magufuli ni mwoga na anaogopa ushindanj.
 
Majungu tu, John hamuogopi mtu yeyote si hapa nchini bali dunia nzima,yeyey anamuogopa Mungu tu,halafu wewe si Mungu unaweza kutangulia wewe mahala pa milelel na mzee wa watu akaendelea kudunda.
Umenena vyema, nimeshangaa kuna mahali mtu amepost eti John anamuogopa Agrey mwanri ndio maana kamtumbua ukuu wa mkoa, like seriously?? Hv wanamuonaje huyu jamaa!?
 
Back
Top Bottom