Kamwe katika mabishano hatuwezi kuandika Katiba

Kamwe katika mabishano hatuwezi kuandika Katiba

ama kweli wewe kama ni pipa litakuwa limetoboka hili maana maji yote ninayoweka halijai tu

Hiyo khanga walifungiwa Kwenu Huko na ukoo wenu, weka hoja za maana humu.
 
katiba mpya ndio sehemu pekee ya kuwadhibiti wababaishaji wote katika utawala, kama mtu hawezi uongozi kwa kushindwa kuwa mbunifu au kusimamia tuweke mifumo ila madalali wanaowanyonya wakulima, wanowanyonya wafanyakazi watoke kwenye uongozi.

Ni vigumu kuwabaini kwani wengi wanakuja na mbwembwe na vijembe na kuaminika.

Lakini tukiweka mifumo ya kusimamiana basi mifumo yenyewe itawachambua na tutakuwa na viongozi bora wanaowatumikia wananchi.

Tuweke mifumo ya kila mmoja kubeba mzigo wake.

Lakini wanaojijua ni mizigo wanataka kulazimisha makundi kuhukumiwa pamoja ili wanusurike.


acha kumezeshwa maneno na wachumiatumbo waliokutuma humu jenga hoja unataka mifumo gani hiyo? Usichokielewa ni nini hujasoma katiba pendekezwa imeweka wazi mifumo mizuri ya utawala nchini kunazia serikali,mahakama na bunge,najua unatamani sana kuona tz inakua na utawala wa kambare eti na wewe uwe unafanya uteuzi haiwezekani lazima ukubali,sio kila unaloliwaza litaingia kwenye katiba itakua sio katiba hiyo ni tungo za abunuwazi, mfumo wa kusimamiana ni watu kujitambua na kufanya maamuzi sahihi na sio kulalama kama wewe unayekaa na wauza gongo,wauza vitu feki afu unategemea katiba iwakamate bila wewe kujua wajibu wako
 
tatizo kubwa ambalo tunalo katika nchi hii ni mifumo ya utawala imeungana. hatuna mihimili mitatu ya utawala kwani katiba zote kwa maana iliyopo na iliyopendekezwa zimeua mihimili hiyo na tumebaki na mhimili mmoja na mihili mingine kuwa kujiunga na .

lengo la kuwa na mihimili mitatu nadhani ni kile wanachoita checks and balance.

lengo hapa la mihimili mitatu ni kuhakikisha katika utendaji iwapo kuna mmoja amejisahau katika hiyo mihili basi hawa wengine wanareact, si kwa ajili ya ubaya bali lengo ni kuhakikisha uongozi hautoki kwenye malengo.

unapokuwa na mahakama ambayo ipo ndani ya wizara ya serikali na mahakama hii inatokana na serikali kwa mfumo ni wazi huwezi kuwa na mahakama iliyo sawa na serikali yenyewe ili kutoa checks and balance iwapo kutatokea tatizo kwa upande wa serikali.

lakini pia unapokuwa na wabunge ambao wamo ndani ya serikali na wabunge wakiteliwa kufanya kazi ndani ya serikali unakuwa na bunge lenye wabunge wanaotafuta nafasi za utumishi serikalini na mijadala na hoja zote zinakuwa ni za kujitengenezea mazingira au kulinda maslahi yao.

hivyo huwezi kupata checks and balance kitu ambacho ni muhimu sana katika utwala wan chi.
Matokeo yake ni kuwa na corrupt au weka judicial system, kuwa na corrupt government na kuwa na weak and hypocrisy parliament.
Haya ndiyo mambo ambayo checks and balansi katika utawala inatakiwa kuondoa.
Lakini kama kuna corruption katika mfumo wa mahakama nani wa kuinitiate mabadiliko?, nani wa kupitisha madiliko? Haya yalikuwa majukumu ya serikali na bunge lakini wameungana na kuwa kitu kimoja hivyo hakuna wa kumfunga paka pengele.
Kama kuna corruption katika government nani wa kusimamia kuona kama kinachotendeka ndicho kilichostahili au kimetoka katika mstari?, nani wa kutoa maamuzi kama yanahitajika kuwa hapa kweli kuna makosa yamefanyika? Haya ni majukumu ya bunge na mahakama.
Iwapo chombo hiki cha wananchi ambacho ndicho chenye mamlaka ya juu kwa kuwa wao ndio wamekasimiwa baadhi ya madaraka ya wananchi hivyo wao ndio wanawakilisha wenye mali. Hawa tunaweza kuwalinganisha na bodi katika kampuni yetu ambayo ni serikali. Lakini hawa wanaweza nao kufanya mambo kama kutoa maamuzi yaliyo nje ya mipaka yao, kujisahau na kutaka kuingilia kazi zisizo kwao hivyo mihimili mingine ambayo ni serikali na mahakama zipo kuweza kuyaweka bayana mambo haya.
Lakini vyombo hivi vinapokuwa vimeungana basi ile dhana ya kuwa na vyombo vitatu inapotea kabisa na tunabaki kuendesha shughuli kama tuko kwenye mfumo wa mhimili mmoja.
Vyombo hivi kuungana kunatokana na makosa yaliyopo katika uandishi wa katiba kwa kutoangalia jinsi gani mihili hii itaundwa na je nini majukumu ya kila mhimili na unatekelezaje majukumu yetu.
Lakini lipo tatizo kubwa la jinsi gani unaweza kuwezesha mihimili hii ilingane nguvu kwa maana hakuna mhimili unaoulalia mwingine. Hapa lazima twende mbali zaidi kwa kuangalia vitu kama fedha na nguvu nyingine.
Kuchukua mhimili mmoja ukaupa nguvu za kwenye makaratasi na ukaupa nguvu halisi ambazo ni fedha na jeshi na mihimili mingine ikabaki na nguvu za kwenye makaratasi tu tayarai hapa checks and balansi imeondoka.
Hapa nazungumza serikali kumiliki nguvu za kiuchumi na kijeshi inaipa nguvu ya ziada kuzilalia mihimili zingine. Hata kama Mahakama wakitoa hukumu kama serikali ndio inatakiwa kutekeleza maamuzi ya mahakama na haijatekeleza je mahakama watafanya nini?
Hata kama bunge litafanya maamuzi kama serikali haijatekeleza maamuzi watafanya nini?
Lengo la kuweka checks and balansi ni kuhakikisha Yule anayekosea anaposolewa na mihimili mingine anatiii kutokana na pengine nguvu ya hawa wawili waliobaki kwa pamoja kumzidi.
Hivyo ni vema katiba ikaondoa utegemezi wa muhimili mmmoja kifedha kwa mhihili mwingine, ni vema katiba ikaondoa pia utegemezi wa maamuzi ya ndani kutoka mhimili mwingine isipokuwa mambo ya utungaji wa sera za nchi, sheria lakini si kwa mambo ya kiutendaji kama kupata watumishi na mengine.
Lakini ipo nguvu kubwa sana ya jamii ambayo ni jeshi la kulinda mipaka ya nchi.
Katika dhana ya kutengeneza checks and balansi na kuangalia usalama wan chi ni vema jeshi la wananchi likawekwa moja kwa moja kwa wananchi wenyewe kwa maana ya kuliweka chini ya bunge.
Kuliweka jeshi mikononi mwa serikali inaweka utawala wa nchi katika mfumo wa kifalme ambao wananchi hawana mamlaka bali kila kitu anaamua mfalme wao na huyu hachaguliwi na wananchi bali waliamini amechaguliwa na miungu hivyo wananchi hawana maamuzi bali miungu itawaamulia kupitia kiongozi au mfalme wao.
Kuliweka jeshi mikononi mwa serikali inaipa serikali nguvu za kifalme kwa kujiamlia mambo inavyotaka yenyewe na hakuna wa kusema tofauti na wanavyotaka na watataumia nguvu za majeshi waliyonayo kulazimisha maamuzi yao.
Lakini ukiliweka jeshi mikononi mwa bunge lakini jeshi hili likabaki kutojihusisha na shughuli za kawaida bali linaweza kutumika katika hali ya dharura, hapa unakuwa umerejesha nguvu hii kubwa mikononi mwa wananchi kwa maana kwenye chombo chao cha kufanya maamuzi badala yao.
Katika mfumo kama huu ni rahisi kupata cheksi and balansi katika mihimili kwa mihimili kubaki kusuaguana kwa hoja na anayeshindwa anabaki kusikiliza wenzake wamemwambia nini.

Kukisha patikana checks and balansi katika mihimili juu ilivyo kaa basi kinachofuata ni kuweka utaratibu mzuri wa majukumu katika kila mhimili ili kuiwezesha mihimili yenyewe kutimiza majukumu yake kwa kutumia ujuzi na maarifa, kuondoa uwezekano wa wajinga kutumia nguvu hizi za mihimili kufanya maamuzi kulingana na upumbavu wao. Mfano katika hali kama hiyo ni lazima bunge lijengwe kutumia ujuzi na utaalamu katika kusimamia serikali. Hapa kunaweza kuanishwa aina ya wabunge, majukumu ya wabunge, utaratibu wao wa kufanya kazi na mimi ningesema ni bora vyama vya wabunge vibaki milangoni wakiingia bungeni na bunge linakuwa moja kuhoji serikali. Mabishano ya vyama vya siasa yanaweza kuhamishiwa TCD lakini bungeni serikali kwa waziri kuwana wataalamu wake wakijibu hoja kwa upande mmoja na wabunge kwa upande wa pili.
Matatizo yote unayoyazungumza kuhusu gongo, unga na mengine nashindwa kuelewa yanatokana na mihimili hiyo kutokufanya kazi yake ipasavyo na yale niliyoyaainisha hapo juu ndiyo sababu kuu lakini na wewe unaweza kuchangia ili tujadili. Kwa nini nasema hivyo? Serikali ndiyo yenye jukumu la kudhibiti mambo hayo, sasa inafanya nini? Kodi zetu zinatakiwa kutumika kutoa elimu, kutengeneza taasisi, kuajiri wataalamu wa kupambana na haya. Yapo mambo mengi yanategemea katika maswala haya hivyo tunatakiwa kuisikiliza serikali inafanya nini na tupime kama inatimiza wajibu wake au la.
Sasa wewe unatakiwa kutambua kuwa ni mambo gani mwananchi amekasimu madaraka yake kwa bunge? Ni madaraka haya yote yamekasimiwa kwa bunge. Bunge ndilo linatakiwa kufanya kazi hii badala yetu sisi wananchi kuangalia kama serikali wanatimiza wajibu wao. Sasa je bunge wanafanya kazi hiyo? Kazi ya mbunge si kujenga shule na barabara bali ni kusimamia serikali.
Kwa mwananchi madaraka yaliyobaki kwangu ni kufanya maamuzi ya mwisho ambayo ni kupiga kura kwa maana kama mwisho sidharidhika na utendaji wa serikali nawajibisha, kama sijaridhika na utendaji wa mwakilishi wangu ninawajisha, kama nikilidhika na mipango ya maendeleo nachagua , kama nikiridhika na mipango, mbinu na hari ya mwakilishi wangu namchagua.
Kakini elimu yetu ya uraia haitujengi katika sisi sote kutambua majukumu na wajibu wa kila mmoja wetu bali kila mtu ana uelewa wa kwake na kila mtu anafanya anavyotaka yeye.
Matokeo yake ni sote kujikuta tuko uwanjani tukicheza mpira lakini sote hakuna anayejua gori lake ni lipi na la adui yake ni lipi bali tunabutua mbira tu. Ukifika mbele yako unabutua tukisikia gori ndio tunasikiliza na hapo ndio tunabaini na nani kafunga na nani kafungwa.
Katiba ndio msingi wa maisha ya watu wake na tunaweza kuanzia hapo kuweka mifumo yetu sawa.
Bila kuweka mifumo sawa tukategemea kubutua tu tunakuwa tumerudi katika mifumo ya maisha ya zamani ya watu ambao walikuwa hawana utaalamu wowote bali kila kitu wanabahatisha. Mtoto akiumwa hujui sababu wala tiba unachuma kila mti unajaribu kumpa na kufanya kila aina ya kinachowezekana. Kw wale waliobahatisha kuchuma mti sahihi wagonjwa wao walipona na wakaukumbuka mti huo na hiyo iliwapunguzia ukali wa maisha kwani kwa kila aliyeumwa hawakuhainga kujaribu miti yote tena bali kama mazingira yanafanana wanampa mti ule ule. Hii imetusaidia mpaka leo hii kwani madawa mengi yalivumbuliwa kwa mtindo huo lakini wao walihangaika sana.
Kwetu sisi tunayo matatizo ambayo tunataka kukabiliana nayo, tutakuwa wapumbavu kama tutaendelea kugangania katika njia ya kubahatisha bahatisha, kubutua tu huku tukiwa hatujui sababu tunafunga wapi.
Wenzetu walikwisha pita huku hivyo tujifunze kwao ila tusiangalie jambo moja kwa maana ukiangalia mfumo wa utengenezaji wa mihimili kwa wenzako na bila kuangalia mifumo yote unaweza kupotea. Tuchukue basics ambazo ni kama checks anda balansi na kuangalia ni kwa jinsi gani tunaweza kuzitengeneza katika mazingira yetu.
Marekani au Kenya raisi anaweza kuteua kiongozi wa Mahakama pengine kutokana na mifumo yao wakapata checks and balansi lakini kwetu sisi tukiweka mfumo huo kama hatuna mfumo wa kudhibiti mtu asiteue rafiki yake, ndugu yake, mshirika wake hatuwezi kupata cheksi and balansi.
Kwa maana nyingine kutobutua ni kuangalia mifumo ya wenzetu na kuiboresha ili ifanye kazi katika mazingira yetu au tuifanye itutatulie matatizo yetu.
acha kumezeshwa maneno na wachumiatumbo waliokutuma humu jenga hoja unataka mifumo gani hiyo? Usichokielewa ni nini hujasoma katiba pendekezwa imeweka wazi mifumo mizuri ya utawala nchini kunazia serikali,mahakama na bunge,najua unatamani sana kuona tz inakua na utawala wa kambare eti na wewe uwe unafanya uteuzi haiwezekani lazima ukubali,sio kila unaloliwaza litaingia kwenye katiba itakua sio katiba hiyo ni tungo za abunuwazi, mfumo wa kusimamiana ni watu kujitambua na kufanya maamuzi sahihi na sio kulalama kama wewe unayekaa na wauza gongo,wauza vitu feki afu unategemea katiba iwakamate bila wewe kujua wajibu wako
 
tatizo kubwa ambalo tunalo katika nchi hii ni mifumo ya utawala imeungana. Hatuna mihimili mitatu ya utawala kwani katiba zote kwa maana iliyopo na iliyopendekezwa zimeua mihimili hiyo na tumebaki na mhimili mmoja na mihili mingine kuwa kujiunga na .

Lengo la kuwa na mihimili mitatu nadhani ni kile wanachoita checks and balance.

Lengo hapa la mihimili mitatu ni kuhakikisha katika utendaji iwapo kuna mmoja amejisahau katika hiyo mihili basi hawa wengine wanareact, si kwa ajili ya ubaya bali lengo ni kuhakikisha uongozi hautoki kwenye malengo.

Unapokuwa na mahakama ambayo ipo ndani ya wizara ya serikali na mahakama hii inatokana na serikali kwa mfumo ni wazi huwezi kuwa na mahakama iliyo sawa na serikali yenyewe ili kutoa checks and balance iwapo kutatokea tatizo kwa upande wa serikali.

Lakini pia unapokuwa na wabunge ambao wamo ndani ya serikali na wabunge wakiteliwa kufanya kazi ndani ya serikali unakuwa na bunge lenye wabunge wanaotafuta nafasi za utumishi serikalini na mijadala na hoja zote zinakuwa ni za kujitengenezea mazingira au kulinda maslahi yao.

Hivyo huwezi kupata checks and balance kitu ambacho ni muhimu sana katika utwala wan chi.
Matokeo yake ni kuwa na corrupt au weka judicial system, kuwa na corrupt government na kuwa na weak and hypocrisy parliament.
Haya ndiyo mambo ambayo checks and balansi katika utawala inatakiwa kuondoa.
Lakini kama kuna corruption katika mfumo wa mahakama nani wa kuinitiate mabadiliko?, nani wa kupitisha madiliko? Haya yalikuwa majukumu ya serikali na bunge lakini wameungana na kuwa kitu kimoja hivyo hakuna wa kumfunga paka pengele.
Kama kuna corruption katika government nani wa kusimamia kuona kama kinachotendeka ndicho kilichostahili au kimetoka katika mstari?, nani wa kutoa maamuzi kama yanahitajika kuwa hapa kweli kuna makosa yamefanyika? Haya ni majukumu ya bunge na mahakama.
Iwapo chombo hiki cha wananchi ambacho ndicho chenye mamlaka ya juu kwa kuwa wao ndio wamekasimiwa baadhi ya madaraka ya wananchi hivyo wao ndio wanawakilisha wenye mali. Hawa tunaweza kuwalinganisha na bodi katika kampuni yetu ambayo ni serikali. Lakini hawa wanaweza nao kufanya mambo kama kutoa maamuzi yaliyo nje ya mipaka yao, kujisahau na kutaka kuingilia kazi zisizo kwao hivyo mihimili mingine ambayo ni serikali na mahakama zipo kuweza kuyaweka bayana mambo haya.
Lakini vyombo hivi vinapokuwa vimeungana basi ile dhana ya kuwa na vyombo vitatu inapotea kabisa na tunabaki kuendesha shughuli kama tuko kwenye mfumo wa mhimili mmoja.
Vyombo hivi kuungana kunatokana na makosa yaliyopo katika uandishi wa katiba kwa kutoangalia jinsi gani mihili hii itaundwa na je nini majukumu ya kila mhimili na unatekelezaje majukumu yetu.
Lakini lipo tatizo kubwa la jinsi gani unaweza kuwezesha mihimili hii ilingane nguvu kwa maana hakuna mhimili unaoulalia mwingine. Hapa lazima twende mbali zaidi kwa kuangalia vitu kama fedha na nguvu nyingine.
Kuchukua mhimili mmoja ukaupa nguvu za kwenye makaratasi na ukaupa nguvu halisi ambazo ni fedha na jeshi na mihimili mingine ikabaki na nguvu za kwenye makaratasi tu tayarai hapa checks and balansi imeondoka.
Hapa nazungumza serikali kumiliki nguvu za kiuchumi na kijeshi inaipa nguvu ya ziada kuzilalia mihimili zingine. Hata kama mahakama wakitoa hukumu kama serikali ndio inatakiwa kutekeleza maamuzi ya mahakama na haijatekeleza je mahakama watafanya nini?
Hata kama bunge litafanya maamuzi kama serikali haijatekeleza maamuzi watafanya nini?
Lengo la kuweka checks and balansi ni kuhakikisha yule anayekosea anaposolewa na mihimili mingine anatiii kutokana na pengine nguvu ya hawa wawili waliobaki kwa pamoja kumzidi.
Hivyo ni vema katiba ikaondoa utegemezi wa muhimili mmmoja kifedha kwa mhihili mwingine, ni vema katiba ikaondoa pia utegemezi wa maamuzi ya ndani kutoka mhimili mwingine isipokuwa mambo ya utungaji wa sera za nchi, sheria lakini si kwa mambo ya kiutendaji kama kupata watumishi na mengine.
Lakini ipo nguvu kubwa sana ya jamii ambayo ni jeshi la kulinda mipaka ya nchi.
Katika dhana ya kutengeneza checks and balansi na kuangalia usalama wan chi ni vema jeshi la wananchi likawekwa moja kwa moja kwa wananchi wenyewe kwa maana ya kuliweka chini ya bunge.
Kuliweka jeshi mikononi mwa serikali inaweka utawala wa nchi katika mfumo wa kifalme ambao wananchi hawana mamlaka bali kila kitu anaamua mfalme wao na huyu hachaguliwi na wananchi bali waliamini amechaguliwa na miungu hivyo wananchi hawana maamuzi bali miungu itawaamulia kupitia kiongozi au mfalme wao.
Kuliweka jeshi mikononi mwa serikali inaipa serikali nguvu za kifalme kwa kujiamlia mambo inavyotaka yenyewe na hakuna wa kusema tofauti na wanavyotaka na watataumia nguvu za majeshi waliyonayo kulazimisha maamuzi yao.
Lakini ukiliweka jeshi mikononi mwa bunge lakini jeshi hili likabaki kutojihusisha na shughuli za kawaida bali linaweza kutumika katika hali ya dharura, hapa unakuwa umerejesha nguvu hii kubwa mikononi mwa wananchi kwa maana kwenye chombo chao cha kufanya maamuzi badala yao.
Katika mfumo kama huu ni rahisi kupata cheksi and balansi katika mihimili kwa mihimili kubaki kusuaguana kwa hoja na anayeshindwa anabaki kusikiliza wenzake wamemwambia nini.

Kukisha patikana checks and balansi katika mihimili juu ilivyo kaa basi kinachofuata ni kuweka utaratibu mzuri wa majukumu katika kila mhimili ili kuiwezesha mihimili yenyewe kutimiza majukumu yake kwa kutumia ujuzi na maarifa, kuondoa uwezekano wa wajinga kutumia nguvu hizi za mihimili kufanya maamuzi kulingana na upumbavu wao. Mfano katika hali kama hiyo ni lazima bunge lijengwe kutumia ujuzi na utaalamu katika kusimamia serikali. Hapa kunaweza kuanishwa aina ya wabunge, majukumu ya wabunge, utaratibu wao wa kufanya kazi na mimi ningesema ni bora vyama vya wabunge vibaki milangoni wakiingia bungeni na bunge linakuwa moja kuhoji serikali. Mabishano ya vyama vya siasa yanaweza kuhamishiwa tcd lakini bungeni serikali kwa waziri kuwana wataalamu wake wakijibu hoja kwa upande mmoja na wabunge kwa upande wa pili.
Matatizo yote unayoyazungumza kuhusu gongo, unga na mengine nashindwa kuelewa yanatokana na mihimili hiyo kutokufanya kazi yake ipasavyo na yale niliyoyaainisha hapo juu ndiyo sababu kuu lakini na wewe unaweza kuchangia ili tujadili. Kwa nini nasema hivyo? Serikali ndiyo yenye jukumu la kudhibiti mambo hayo, sasa inafanya nini? Kodi zetu zinatakiwa kutumika kutoa elimu, kutengeneza taasisi, kuajiri wataalamu wa kupambana na haya. Yapo mambo mengi yanategemea katika maswala haya hivyo tunatakiwa kuisikiliza serikali inafanya nini na tupime kama inatimiza wajibu wake au la.
Sasa wewe unatakiwa kutambua kuwa ni mambo gani mwananchi amekasimu madaraka yake kwa bunge? Ni madaraka haya yote yamekasimiwa kwa bunge. Bunge ndilo linatakiwa kufanya kazi hii badala yetu sisi wananchi kuangalia kama serikali wanatimiza wajibu wao. Sasa je bunge wanafanya kazi hiyo? Kazi ya mbunge si kujenga shule na barabara bali ni kusimamia serikali.
Kwa mwananchi madaraka yaliyobaki kwangu ni kufanya maamuzi ya mwisho ambayo ni kupiga kura kwa maana kama mwisho sidharidhika na utendaji wa serikali nawajibisha, kama sijaridhika na utendaji wa mwakilishi wangu ninawajisha, kama nikilidhika na mipango ya maendeleo nachagua , kama nikiridhika na mipango, mbinu na hari ya mwakilishi wangu namchagua.
Kakini elimu yetu ya uraia haitujengi katika sisi sote kutambua majukumu na wajibu wa kila mmoja wetu bali kila mtu ana uelewa wa kwake na kila mtu anafanya anavyotaka yeye.
Matokeo yake ni sote kujikuta tuko uwanjani tukicheza mpira lakini sote hakuna anayejua gori lake ni lipi na la adui yake ni lipi bali tunabutua mbira tu. Ukifika mbele yako unabutua tukisikia gori ndio tunasikiliza na hapo ndio tunabaini na nani kafunga na nani kafungwa.
Katiba ndio msingi wa maisha ya watu wake na tunaweza kuanzia hapo kuweka mifumo yetu sawa.
Bila kuweka mifumo sawa tukategemea kubutua tu tunakuwa tumerudi katika mifumo ya maisha ya zamani ya watu ambao walikuwa hawana utaalamu wowote bali kila kitu wanabahatisha. Mtoto akiumwa hujui sababu wala tiba unachuma kila mti unajaribu kumpa na kufanya kila aina ya kinachowezekana. Kw wale waliobahatisha kuchuma mti sahihi wagonjwa wao walipona na wakaukumbuka mti huo na hiyo iliwapunguzia ukali wa maisha kwani kwa kila aliyeumwa hawakuhainga kujaribu miti yote tena bali kama mazingira yanafanana wanampa mti ule ule. Hii imetusaidia mpaka leo hii kwani madawa mengi yalivumbuliwa kwa mtindo huo lakini wao walihangaika sana.
Kwetu sisi tunayo matatizo ambayo tunataka kukabiliana nayo, tutakuwa wapumbavu kama tutaendelea kugangania katika njia ya kubahatisha bahatisha, kubutua tu huku tukiwa hatujui sababu tunafunga wapi.
Wenzetu walikwisha pita huku hivyo tujifunze kwao ila tusiangalie jambo moja kwa maana ukiangalia mfumo wa utengenezaji wa mihimili kwa wenzako na bila kuangalia mifumo yote unaweza kupotea. Tuchukue basics ambazo ni kama checks anda balansi na kuangalia ni kwa jinsi gani tunaweza kuzitengeneza katika mazingira yetu.
Marekani au kenya raisi anaweza kuteua kiongozi wa mahakama pengine kutokana na mifumo yao wakapata checks and balansi lakini kwetu sisi tukiweka mfumo huo kama hatuna mfumo wa kudhibiti mtu asiteue rafiki yake, ndugu yake, mshirika wake hatuwezi kupata cheksi and balansi.
Kwa maana nyingine kutobutua ni kuangalia mifumo ya wenzetu na kuiboresha ili ifanye kazi katika mazingira yetu au tuifanye itutatulie matatizo yetu.

umeweka maneno mengi lakini ningekuwa mwalimu ningekupa bonge la mkasi coz huend ktk point unaingiza na mambo yasiyohitajika, unahitaji darasa la ngumbaro.
 
mimi kwa kukutathmini nasema haufai kuwa mwalimu.

sababu ni kuwa katika ujumbe wowote huwa kuna mambo wawili

1 ni ujumbe wenyewe na 2 ni "background"

mwalimu anayejua kazi yake huwa anampima mwananfunzi kwa kuweka mkazo katika ujumbe wenyewe na background kupewa nafasi ndogo.

mfano wapo watu wanaomsikiliza mhutubiaji wakatoka na mwonekano wa mtoa hotuba, uwezo wa kuchekesha wa mtoa hotuba, lafudhi ya mtoa hotuba na menngine ya namna hiyo lakini mtoa hotuba kasema nini wanaondoka hawana.

hayo ni background ya habari yenyewe na wanadamu wanatakiwa kuhamasishwa kujitahidi kupata ujumbe kwanza na kupima ujumbe badala ya kuweka mkazo kwenye mambo ambayo ni vifungashio.

yaani ukienda kununua bidhaa jali bidhaa kwanza na sio kujali vifungashio bila kujali bidhaa unayonunua.

kwangu mimi hayo uliyoyasema ni vifungashio ambavyo kama ningekuwa nafanya kazi hiyo kibiashara ningeyajali lakini kama nawaza jambo ambalo naona linafaa kwa taifa letu ningependa watanzania tujadili mawazo na kwa wale wenye utaalamu basi mimi hapa sidai kopiraiti mnaweza kuyaweka vizuri lakini msipotoshe maana niliyokusudia

umeweka maneno mengi lakini ningekuwa mwalimeu ningekupa bonge la mkasi coz huend ktk point unaingiza na mambo yasiyohitajika, unahitaji darasa la ngumbaro.
 
mimi kwa kukutathmini nasema haufai kuwa mwalimu.

sababu ni kuwa katika ujumbe wowote huwa kuna mambo wawili

1 ni ujumbe wenyewe na 2 ni "background"

mwalimu anayejua kazi yake huwa anampima mwananfunzi kwa kuweka mkazo katika ujumbe wenyewe na background kupewa nafasi ndogo.

mfano wapo watu wanaomsikiliza mhutubiaji wakatoka na mwonekano wa mtoa hotuba, uwezo wa kuchekesha wa mtoa hotuba, lafudhi ya mtoa hotuba na menngine ya namna hiyo lakini mtoa hotuba kasema nini wanaondoka hawana.

hayo ni background ya habari yenyewe na wanadamu wanatakiwa kuhamasishwa kujitahidi kupata ujumbe kwanza na kupima ujumbe badala ya kuweka mkazo kwenye mambo ambayo ni vifungashio.

yaani ukienda kununua bidhaa jali bidhaa kwanza na sio kujali vifungashio bila kujali bidhaa unayonunua.

kwangu mimi hayo uliyoyasema ni vifungashio ambavyo kama ningekuwa nafanya kazi hiyo kibiashara ningeyajali lakini kama nawaza jambo ambalo naona linafaa kwa taifa letu ningependa watanzania tujadili mawazo na kwa wale wenye utaalamu basi mimi hapa sidai kopiraiti mnaweza kuyaweka vizuri lakini msipotoshe maana niliyokusudia
shitaji tu kuwa mwalimu na hata wewe hufai hata kidogo.
 
lakini mimi na wewe tutabishana tu, only a third party can identify kati yetu mimi na wewe anahitaji darasa la ngumbaru

umeweka maneno mengi lakini ningekuwa mwalimu ningekupa bonge la mkasi coz huend ktk point unaingiza na mambo yasiyohitajika, unahitaji darasa la ngumbaro.
 
bila ya kukaa chini na tukatafakari matizo yetu na kujadili kila hoja inayokuja mbele yetu hatuwezi kutengeneza katiba.

lipo tatizo la baadhi yetu kudhani utunzi wa katiba ni sawa na mechi ya mpira wa miguu ambapo makundi yanayoshiriki ni kudhani wanashindana na makundi mengine hivyo kutafuta ushindi.
 
bila ya kukaa chini na tukatafakari matizo yetu na kujadili kila hoja inayokuja mbele yetu hatuwezi kutengeneza katiba.

lipo tatizo la baadhi yetu kudhani utunzi wa katiba ni sawa na mechi ya mpira wa miguu ambapo makundi yanayoshiriki ni kudhani wanashindana na makundi mengine hivyo kutafuta ushindi.
kumbe mda mwingine akili zako zinachaji muda mwingine ndo unapoteza network, sasa nakushauri uisome vizuri na achana na hayo yalopita kuwa mzalendo kwanza mengine baadae.
 
ni jambo la kusikitisha kuona unaeleza tatizo kuwa wengine wanalo na wakati huo wewe mwenyewe unaonyesha kuwa na tatizo hilo katika maelezo yako.

ni kweli kuwa tatizo ni mtu kug'ang'ania hoja zake lakini unapoongeza kuwa hawataki kukubali kuwa katiba hii imejali makundi yote maana yake hata wewe umeg'angania hoja fulani.

kwa nini tusisikilizane kwa maana kila mmoja anayesema hili limeachwa na yule anayesema kila kitu kipo tujadili na sote tuone ni wapi kama taifa tunapokubali kuwa kila mtu amerdhika.

yawezekana hatuwezi kuridhika wote lakini hiyo isiwe sababu ya kupuuzana bali kila mtu anaposema hapa kuna tatizo tujiulize kweli pale kuna nini na tuitimishe.

lakini kwa sasa masikini ya mungu wananchi wanachanganywa kwa maana tunasikia fulani anapinga, fulani anasapoti sasa wananchi wasapoti au kupinga kwa kufuata makundi au tuelezane kinagaubaga?
Ndugu yangu Ego niliwahi kukwambia kuwa hujitambui. Kama wewe hujitambui utasaidiaje wengine wajitambue na kuelewa Katiba Inayopendekezwa. Haya masuala ya nani msafi nani mchafu kwa sasa hayana nafasi katika suala la Katiba Inayopendekezwa. Jaribu kuwa makini na hoja zako.
 
hapa kuna tatizo kwani mimi pia niliwahi kukuambia kuwa wewe yawezekana ni mwanadamu toleo la kwanza ambalo wanadamu wengine walifanyiwa marekebisho na ndio maana uwezo wa ubongo ni mdogo.

hapa kuna mada jadili mada, lakini michango yako katika mada haionyeshi wewe kujitambua, hata unavyochangia haileti mantiki.

mimi nilionyesha wazi kwa nini tuweke tofauti zetu chini ambazo zinaelekea kutufanya tuharibu mchakato wa katiba.

hii ni ajenda iliyojificha miongoni mwa baadhi yetu katika mchakato huu.

lakini walio wengi wanatamani wakipewa madaraka wawafanyie wananchi mambo yaliyo mazuri. tatizo hawajui ni nji gani zinaweza kuwafanya wawafanyie wananchi mazuri na hofu yao juu ya kurekebisha mifumo ndio kikwazo namba moja huku ubovu wa mifumo ndio namba mbili.

wewe leo unakabidhiwa wizara na wapo watu huwezi kuwaagiza kwa kuwa wanasecurity ya wakubwa wenzako, leo hii unakabidhiwa wizara kila unakopeleka mradi wa maendeleo watendaji wanatumia utaalamu wao kufanya kazi ya kwenye makablasha kuoneka mambo yako vizuri lakini katika hali halisi gharama zimepandishwa, bidhaa na ufundi uliotumika ni duni.

bila ya kubadili mifumo ili kila mmoja abebe mzigo wake. iwekwe mifumo ya kila mtu mwenye dhamana ya kuzuia hayo atimize wajibu wake na atakaye bainika achukuliwe hatua. kama wewe ni mtendaji mzuri una hofu gani katika hili?

lakini kama wewe ni mbambaishaji watanzania wote waliobaki wajiulize wababaishaji watawashindaje watu wazuri kwa kuweka mifumo ya kujilinda katika taifa.

lakini kwa kutambua kuwa huko nyuma tulikuwa na mifumo holela ambayo waziri mkuu katiba inampa mamlaka ya kusimamia shughuli za kila siku za serikali lakini utaratibu wa utendaji tulionao haukumpa fursa hiyo.

mawaziri hivyo hivyo.

sasa huko nyuma kwa kutazama mazingira yaliyokuwepo ni bora tukakubali kuwa kila mtu amehusika ili tuwe na mwanzo mpya.

na anayepinga filosofi hiyo basi atupe nyingine ambayo itatutoa katika yale tuliyoyapitia na kuweka mwanzo mpya kupitia katiba mpya kwa maana mimi binafsi sioni mtu mmoja wa kuja kutuletea mabadiliko yeye kama yeye.

nasema hivyo kwa kuwa uraisi kwa sasa unashindaniwa kwa makundi, lakini yapo makundi pia yenye nguvu katika jamii ambayo nguvu zake zinauwezo wa kuleta mitikisikiko kwa njia wanazozijua.

ni nani leo hii kundi litatafuta uraisi alafu awe na ujasiri wa kuwa na maamuzi ya kutengeneza uongozi kwa kuangalia kutumikia wananchi na sio kugawa nyadhifa za uteuzi kwa kundi la uraisi na pengine kundi lenye uwezo wa kuleta mtisiko kwa maana malengo ya kuunda makundi ya uraisi ni kunyemelea nafasi za uteuzi.

na kwa wananchi ni tatizo kubwa kwa maana linapoibuliwa jambo wapo wanaosema hili limepikwa kumuondoa huyu kwa kuwa amewabana wanababaishaji fulani, wapo wanaosema huyu kweli kafanya makosa na katika mazingira haya mtu mmoja wa kujifanya kuleta mabadiliko anaweza hata kukataliwa na wananchi wenyewe na kukumbatia wababaishaji.

kwa kutazama yote hayo tuwe na busara tukubali mambo yaliyopita yote ni dhamana yetu sote yawe mazuri au mabaya na tuondoe harakati za kutafuta madaraka katika hili ili tujenge msingi imara wa nchi yetu.

Ndugu yangu Ego niliwahi kukwambia kuwa hujitambui. Kama wewe hujitambui utasaidiaje wengine wajitambue na kuelewa Katiba Inayopendekezwa. Haya masuala ya nani msafi nani mchafu kwa sasa hayana nafasi katika suala la Katiba Inayopendekezwa. Jaribu kuwa makini na hoja zako.
 
Ego mie nimekuelewa sana tu!kwani umejaribu kueleza fursa tulionayo ya kupata katiba ili kupata pia mtazamo wa Kesho wa taifa hili na vizazi vijavyo!kuna baadhi ya watu wanaoishi Leo Kesho hawaiwazii wala kuizungimzia!hao Kwao ni kibisha kila kitu ni Kama Mtu aliyekula nyama ya Mtu hataacha kamwe!katika Jamii tunao na inapaswa kwenda nao Kama Mzigo wa steshen!ipo siku wanaweza zinduka!katiba PENDEKEZWA ni wakati wetu kuipigia Kura ya ndiyo hatutaki kuishi Jana wakati twatakiwa kuishi Kesho ! Kongole ego
 
mimi kwa kukutathmini nasema haufai kuwa mwalimu.

sababu ni kuwa katika ujumbe wowote huwa kuna mambo wawili

1 ni ujumbe wenyewe na 2 ni "background"

mwalimu anayejua kazi yake huwa anampima mwananfunzi kwa kuweka mkazo katika ujumbe wenyewe na background kupewa nafasi ndogo.

mfano wapo watu wanaomsikiliza mhutubiaji wakatoka na mwonekano wa mtoa hotuba, uwezo wa kuchekesha wa mtoa hotuba, lafudhi ya mtoa hotuba na menngine ya namna hiyo lakini mtoa hotuba kasema nini wanaondoka hawana.

hayo ni background ya habari yenyewe na wanadamu wanatakiwa kuhamasishwa kujitahidi kupata ujumbe kwanza na kupima ujumbe badala ya kuweka mkazo kwenye mambo ambayo ni vifungashio.

yaani ukienda kununua bidhaa jali bidhaa kwanza na sio kujali vifungashio bila kujali bidhaa unayonunua.

kwangu mimi hayo uliyoyasema ni vifungashio ambavyo kama ningekuwa nafanya kazi hiyo kibiashara ningeyajali lakini kama nawaza jambo ambalo naona linafaa kwa taifa letu ningependa watanzania tujadili mawazo na kwa wale wenye utaalamu basi mimi hapa sidai kopiraiti mnaweza kuyaweka vizuri lakini msipotoshe maana niliyokusudia

Unafikiri tuko darasani?acha kukarirshwa hapa kinachoangaliwa ni hoja zako mambo ya ujumbe na background wakati kuna pumba hayana maana hapa jikite kwenye msingi usiwe kama gari la taka linasomba kila kitu.
 
kumbe mda mwingine akili zako zinachaji muda mwingine ndo unapoteza network, sasa nakushauri uisome vizuri na achana na hayo yalopita kuwa mzalendo kwanza mengine baadae.

ha aha ha ha na huyo ndo Ego bwana ka chaja ya kobe afu ni msahaulifu sana huyo!
 
ama kweli wewe kama ni pipa litakuwa limetoboka hili maana maji yote ninayoweka halijai tu

Ego unaweka maj?au upepo, madudu kibao unajaza saver tu za JF jitafakari wewe usikarie kuandika mambo yasiyoeleweka.
 
bila ya kukaa chini na tukatafakari matizo yetu na kujadili kila hoja inayokuja mbele yetu hatuwezi kutengeneza katiba.

lipo tatizo la baadhi yetu kudhani utunzi wa katiba ni sawa na mechi ya mpira wa miguu ambapo makundi yanayoshiriki ni kudhani wanashindana na makundi mengine hivyo kutafuta ushindi.


We mwenyewe ndio unayefikiri hivi ndio maana haubadiliki na hata michango yako haieleweki.
 
Katiba inayopendekezwa ndio mpango mzima na kujiandikisha ni hatua ya kwanza na ya pili ni kupiga kura ya maoni wakati ukifika,tuko pamoja watanzania
 
Back
Top Bottom