hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] huyo sio mwanamke wako Tena ni mwanamke wetuAchaaa kabisa Hebu fikiria mwanamke wako hata kuongozana na wewe njia moja hatakiii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] huyo sio mwanamke wako Tena ni mwanamke wetuAchaaa kabisa Hebu fikiria mwanamke wako hata kuongozana na wewe njia moja hatakiii.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mimi alinifokea kwasababu nilimtumia hela baada ya yeye kusema anahitaji pesa then nikamkumbusha namhitaji nna miezi miwili sijala mzigo.
Aliponikasirikia (eti tatizo namkumbusha wakati gani, inakuwa kama tunauziana kitu) ndio nikashtuka kumbe hapa sina mwanamke anymore.
[emoji1][emoji1][emoji1]Kweli kabisa inaumiza sana, unakuta umempenda mtoto wa mtu kumbe yeye anakuchukulia powah.
Wanaume tuna kazi sana ndio maana tunakufa haraka
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yes brother na hapo ndipo nilipokosea
Yaani nilivyojifanya mzee wa kuomba msamaha
Mzeee wa upendo kumbe ndo nazidi kumpa moto wa kuniona mimi boya
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nikwambie kitu mkuu, mi simkimbiagi mwanaume eti kisa hana hela, najua kuna kesho
Sasa ngoja yy mwanaume apate vijihela, yaan ni anaibuka na mijitabia ambayo hapo awali hakuwa navyo, anaibua ugomvi ili tu mgombane apate kisingizio, sasa kama ni mshamba wa wanaume unaweza kunywa sumu..
Mimi nikshaona hizi tabia huwa nakwambia kabisa oyaa umebadilika jirekebishe hii dunia haiendi hivyo hivyo vihela vitaisha, kama kawaida huwa hamsikii, Basi anaenda kwa hao wapya waliozuzuka na vihela vyake, vikiisha wanampiga kibuti, hapo sasa kabaki na kendee tatu ndo ananikumbuka mimi wit, kitu ambacho na mimi ntamfanyia lazima atanikumbuka mpaka anaingia kaburini maninaa, mfyuuu zenu[emoji57]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mimi alisema nimetoka mchana hiyo akiwa amelala eti sikumuaga ndiyo kikawa kisa akaondoka nakuniacha na watoto wadogo , nasema wanawake na walaaniwe
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hata ungekuwa nao 100 kwa wakati mmoja, lazima kuna mmoja tu ambaye jicho lako na moyo wako vitakuwa kwake na ndio huyo akikutenda sasa lazima utapetape kama mfa maji
Daahh 4month !![emoji848][emoji848]smh , Mimi niliwahi jaribu mwezi 1 tu Akaanza kukaa sawa ile hatujakaa sawa vizuri ukapita upepo mbaya mwingine hapo nikaamua mwenyewe tuachane tu mazima ,Siwezi kubisha mkuu maana ukitafuta sababu ya mtu kubadilika hakika huipati yaani kuna mwanamke anaingia kwenye maisha yako na wewe unaingia kwenye yake unahisi huyu ndio perfect fit yaani mnashibana kuanzia mawazo fikra mpaka hisia yaani sometimes umeshika simu unataka upige labda hamja ongea siku nzima unashangaa na yeye anapiga yaani unaona mnawaza mamoja.
Yaani kunaupendo flani sio wa kinafiki unauhusi kati yenu.
Huyu kiumbe aliondoka kwenye maisha yangu lakini hakika nilimpenda hatupo pamoja tena ila namuombeaga kwa Mungu tu.
Ukisema ni mizimu naweza kukubali maana yalifunjika gafla bin vuu japo nilimuomba zaidi ya miezi 4 bila mafanikio yeyote maana mwanzo nilisihi ni upepo tu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kuna muda naona kabisa akili yangu iko sahihi ila mpaka leo sijui kwanini nasikiliza moyo wangu zaidi.Nadhani muda mwingine sio Kama hatujui kuhusu hawa viumbe ila unakuta una sababu 99 za kumuacha lakini bado unatafuta 1 tu ya kubaki nae.
Binafsi ningekuwa natumia akili pekee kuamua masuala yote yanayonihusu,hasa mapenzi nisingewahi umia hata.
Mambovice versa is true
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hata sisi tunaachika vizuri tu ila tunalia vyumbani tukitoka nje tabasamu usoni kama kawaida na humu nyuzi hatuweki kihivyo kama nyie kutwa mnajiliza liza humu....
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ukikubali hisia zikuongoze lazima mje na nyuzi za kulia lia tu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]daah !!!!Hii jinsia ya kike n complicated sana wakuu maana nlikuwa na nae mmoja hv alinishangaza sana alikuwa anapenda sana starehe out kila weekends, mzigo nilipewa kila napouhitaji anauleta mwnyw gheto, alikuwa mtumiaj mzur tu anabdil style za nywele kila week, bundle la 2,000 kila cku anashinda Instagram, alikuw anajpenda sana kwakwel ila sina uhakika km alkuw ananipend mm maana mwisho wa siku aliniacha ghafla kisa nilikuwa napenda sana kuvaa ndala za matairi [emoji23][emoji23][emoji23], nkamwomba sana samahan nkaacha na kuvaa mgogo ikawa mwendo wa viatu akanambia nkitaka nimsameh nimpe 150,000 hapo ndo nikagundua hii haikuwa kuhusu viatu tvwas something else nkaja chunguza nkagundua kmbe amepata jamaa ana wazfa pale VODACOM
Naam [emoji457][emoji375]Sio tu kumnga'ang'ania mwanamke ambaye hakuitaji tena bali hata pia hata ambaye unamwitaji kama hakuelewi hakuna kubembeleza
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji457][emoji375]Ukipenda usitegemee chochote kutoka kwa unaempenda.
Mwanamke hawezi muache mwanaume anaempenda never penGine sisi tunachukua pisi za watu at the end. Tunaanza kulialia
Kuna member alishawahi changia kitu kwenye uzi fulani . Komment yake ilisema hivi÷
Kwenye mapenzi kinachopewa kipaumbele ni vitu gani umefanya ? hasa kwa mwanamke , kama ulikuwa unatoa huduma fresh kwa "SHE" basi wewe kausha tu one day utaona anarudisha matak♡ yake trust me
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji119]Mimi mpaka hapa nafikiria kwenda kwa mganga nione kama ataolewa unyama unyama tanga ni karibu sana na hata rorya ni karibu sana wataalamu wapo,unyama unyama
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] upofu indeedUkishapenda utaogopa watu kukushangaa mkuu?
Sana sana utakuwa unawashangaa wao tu
[emoji457][emoji375]Kinachowatesa raia wakiachana,Ni zile memories walizowahi kushare wakiwa pamoja.
Mziki una nguvu sana.Leo hii mziki iliowahi kusikiliza Mara nyingi ukiwa na mpenzi wako ukipigwa, lazima utamkumbuka tu,au upigwe mziki automatically huwa Kuna kitu kwenye ubongo kinakwambia "Nilikuwa sehemu fulani[emoji124]"
Daahh [emoji848][emoji30][emoji20]sadI second u, naumia zaidi sababu tuna mtt na nampenda kuliko kitu chochote na amekuwa so emotional baada ya kugundua baba yake sipo sawa, ukweli ni kwamba ameshindwa kubalance btn new love na mtt amemuweka pembeni am not oky with that as mtt anapata mateso ambayo hastahili,
I know hajafata chochote huku zaidi ya mapenz ambayo mm may be nimeshindwa kuonesha ila namuonea huruma kiumbe huyu wangu wa pekee as i have to move on with my life as am broke na nimeharibu mpaka kazi yangu